Kama Muhongo hakuhusika, Mengi anahusikaje?

Kama Muhongo hakuhusika, Mengi anahusikaje?

Acha ubege wewe Mengi ndiyo enginia wa yanayomkuta kiongozi bora 2014 Prof. Muhongo, Unahitaji ushahidi gani zaidi kwani kipindi wanalumbania vitalu hukusikia au unajisahaurisha bwana kasinge. Mengi ni Fisadi mkubwa Tanzania hii amefilisi NBC kwa kugoma kulipa madeni aliyokopa, na kama ni mtu makini uliposoma ripoti ya CAG hakuna mahali panamtaja Muhongo kuchukua pesa za Escrow, pia unanisikitisha kama bado umekariri kuwa pesa zile zilikua za umma. napata wasiwasi na ufuatiliaji wako wa mambo, rais alikiri kuwa pesa zile hazikua za umma upo mzee, acha porojo zisizo na mantiki, tunataka maendeleo hatutaki porojo na ushabiki wa kisiasa.

1.Mengi kulumbania vitalu sio kosa mkuu,ni sawa na mtanzania akidai serikali impe elimu.
2.Kuhusu Mengi kukopa NBC,Mengi alikopa sio aliiba.hata hivyo aliwahi kuonyesha risiti analipa kidogo kidogo.ule ni mkopo.watu wote duniani wanakopa.
3.Ripoti ya CAG haiwezi kumtaja Muhongo,sio kwasababu hana kosa bali hadidu za rejea ndio frame work yao.
4.Hakuna sehemu iliyosema Muhongo amepatikana na kosa la kula hela ya Escrow sio kwamba alikula au hakula,Muhongo anawajibishwa na bunge kwakua Pesa ilikwapuliwa kwenye ofisi yake.Mule ndani ya Escrow kuna pesa ya uma na yeye alisema hakuna pesa ya uma.Lakini pia muhongo ali-accelerate mazungumzo ili wamiliki wazichukue,lazima alikuawa na maslahi,pia akili ya kusema sio pesa ya uma ni kosa kubwa.
5.Logic ya Escrow kuwa pesa ya Uma haifutiki:Mahakama ya kimataifa ilisema kuwa Ile pesa ifanyiwe Re-calculation kwa kutumia principle ya mtaji kianzio wa IPTL ambao ni elfu 50 na isitumike gharama ya uwekezaji wote ambao kimsingi lazima IPTL watataja mabilioni ya pesa maana ile ni kampuni na inakopa wakati wowote ili kutanua biashara yao.Gharama ya uwekezaji wote ukitumika kama ndo principle TANESCO wataendelea kulipa pesa nyingi sana.pia kuna kodi ya uma maana capacity charge ni faida ktk biashara.
6.Kama muhongo hana kosa,kwanini Maswi amesimamishwa?kama Escrow hakuna pesa ya Uma mbona Tibaijuka kang'olewa uwaziri kwa kupewa pesa na ndugu/rafiki/jamaa yake?Tibaijuka anakosa gani?shule yake,akaunti ni zake.kwanini analazimishwa kuweka hela kwenye akaunti ya shule?mlimsaidia kuomba hizo pesa.
NAJUA HUTANIELEWA KWAKUA UNATUMIA ELIMU YAKO KUWAFURAHISHA WACHACHE NA KULIHUJUMU TAIFA KIAKILI NA KIELIMU.
 
Ni kuchukuliwa hatua za kinidhamu baada ya kubainika umekosea.

kwahiyo Maswi alivyosimamishwa kazi amebainika kukosea nini?au pale hajawajibishwa?na kama amekosea ina maana Muhongo hana kosa ila maswi ndo ana kosa?
 
Muhongo kakwapua wapi?leta ushahidi muhongo kapewa kiasi gani vinginevyo unapenda umbea na ushangingi,kaimbe taarabu basi.

kama ngeleja tu kapata mgao,Tibaijuka wa wizara ya Ardhi nae kaonja asali.je Muhongo?ushaidi haujapatikana kwakua tuna taarifa za benki nyingine hazijatolewa na CCTV camera zilizimwa.ni suala la muda tu.
 
Maswi hakuwajibishwa, amesimamishwa kupisha uchunguzi. Kumbuka hilo.

Uchunguzi wa nini rafiki? kama swala liko so clear na open kuwa hakuna ubadhirifu kwa nn kuwe na uchunguzi??
 
Mengi mwizi tu. Dawa yake muhongo hahahaha

Kaiba nini matako yakoo
Wezi wanajulikana mengi anafanya kazi kwenye wizara gani, Mengi ni mtumishi wa umma??
Pumbavuuuu next time uwe na akiri paka wewe
 
kwahiyo Maswi alivyosimamishwa kazi amebainika kukosea nini?au pale hajawajibishwa?na kama amekosea ina maana Muhongo hana kosa ila maswi ndo ana kosa?[/QUO
TE]

Maswi hajawajibishwa bali amesimamishwa(suspension) kupisha uchunguzi.NA MSHAHARA HAUJASIMAMA.
 
Amewajibishwa Maswi na watendaji wendine wa Tanesco kwa utendaji mbaya wa Wizara ambayo anaiongoza Muhongo. Muhongo yupo kiporo anazunguka kama pia. Sasa wanapoandika waandishi wa Habari wa IPP kwa nini tunakimbilia kusema ni Mengi? Kwani wale waandishi wa IPP hawajui kutafuta habari na kwamba Mengi ndo anawatafutia habari? Kwamba Mengi kakosa Vitalu ndo maana anamshambulia Muhongo? Leteni ushahidi hapa muache hapa. Mimi naamini CAG, PCCB, TRA na Bunge hawakuwa Vihiyo kusema fedha ni za umma kwamba Muhongo awajibishwe. Na basi mtuambie kwamba Mengi aliwahonga CAG, PCCB, TRA na Bunge ili waseme kwamba pesa ni za umma. Muhongo yupo kulinda maslahi ya wakubwa na msimsingizie Mengi, mmeharibu wenyewe. Muhongo must GO.

Mengi kwa sasa ndiye anawaelekeza waandishi wa IPP waandike nini juu ya Muhongo na maswi, ni kweli kuwa Mengi na Mkono pamoja na wahindi ambao ni wapinzani wa kibiashara wa Sethi walichanga Mabilioni kisha wakaanda Mchezo wote, Mengi hajasingiziwa hata Neno moja Rushwa na mbinu zote alizofanya si Siri, Kumbuka Mengi hajaanza leo kuwachokonoa Mawaziri ni kawaida yake kukwaluzana na Mawaziri.
 
kwahiyo Maswi alivyosimamishwa kazi amebainika kukosea nini?au pale hajawajibishwa?na kama amekosea ina maana Muhongo hana kosa ila maswi ndo ana kosa?


Alafu fahamu kuwa Maswi ni mtumishi wa umma tofauti na Muhongo.HATA HVYO JK KAMSIMAMISHA MASWI KELELE TU ,HAKUKUWA NA SABABU KAMA ILISHAWEKWA WAZI ESCROW HAIKUWA YA UMMA.
 
Kaiba nini matako yakoo
Wezi wanajulikana mengi anafanya kazi kwenye wizara gani, Mengi ni mtumishi wa umma??
Pumbavuuuu next time uwe na akiri paka wewe

Mengi huwa halipi Kodi,Mengi huwaibia wafanyakazi wake kwa kuwalipa mishahara Mibovu sana,Mengi alipokea Rushwa kubwa toka kwa Rostam ili akae kiimya asitoe Siri kuwa Rostam kafanya biashara kahama na mapesa pasipo kulipa kodi, Zile pati za kula Chakula na a Vilema na Albino kweke ni Dili kwani huzitumia kuomba misamaha ya kodi, Mengi hana cha bure akitoa msaada lazima apate kitu. Hayo ni Baadhi ya Madhambi ya Mengi kwani anayo kibao.
 
Unajua ni watu wa CCM ndo wanasema Mengi ni Mbaya. mbona hamsemi CAG, PCCB, TRA na Bunge ni wabaya. Mengi amewachoma nini? Leteni ushahidi basi na sisi tujue ubaya wake. Ila sisi CAG, PCCB, TRA na Bunge wametuambia Muhongo no mtu mbaya na uhahidi upo. Leteni na wa kwenu.
Ushahidi Upi tena? Umeambiwa Mengi ni Mwizi Tambua hilo tu, Sakata la escrow linazigusa wazara Nne. 1- Wizara ya viwanda na Biashara 2- Majaji na mwanasheria Mkuu 3- Wizara ya fedha na Gavana4- Wizara ya Nishati na Madini , iweje Mengi amkomalie Muhongo peke yake ? Kisa Vitalu vya Gesu tu au kuna lingine?
 
Mengi huwa halipi Kodi,Mengi huwaibia wafanyakazi wake kwa kuwalipa mishahara Mibovu sana,Mengi alipokea Rushwa kubwa toka kwa Rostam ili akae kiimya asitoe Siri kuwa Rostam kafanya biashara kahama na mapesa pasipo kulipa kodi, Zile pati za kula Chakula na a Vilema na Albino kweke ni Dili kwani huzitumia kuomba misamaha ya kodi, Mengi hana cha bure akitoa msaada lazima apate kitu. Hayo ni Baadhi ya Madhambi ya Mengi kwani anayo kibao.

Wewe unaongea pasipo kua na uakika na unaongea story za vihiweni
Sheria zipo za kuwaadhibu watu wanaokwepa kodi mbona yeye atujawah kusikia kesi yake ata moja ya ukwepaji wa kodi na misaada anayatoa ata kama ana piga madilu yake ila unakuta amewasaidia watu kwa kiasi fulani
Na unavyosema kuhusu rostam kwani mengi ni afisa wa TRA alipewa pesa akae kimya
Na unaposema anawaibia wafanyakazi njoo na ushaidi anamuuibia vip mishaara si wanasign mikataba ya kazi au wao hawafanyi ivo
Na ngoja nikwambie kama mengi angekua mwizi kwa serekari hii anayo ikosoa kila siku wangeisha mfunga tayari kwasababu wao ndo wapo kwenyee mfumo
Kinachofanyika ni wao kumchafua tuu ili hari wao ndo wanamamraka yote
Hawana jipya kama anakwepa kodi wamchukulie hatua sasa wanatuambia sisi tufanyajee
Ni wazi kua Mengi anatumia vyema vyombo vyake vya IPP kufichua maovu yao ndo maana hawampendi wanataka afanye kama walivogeuza TBCCM
Nimemaliza endelea kupaka matopee tu achafuki ng'ooooo
 
Kwani bunge na mkuu wa nchi aliyesema hazikuwa za ummah nani mkubwa zaidi..... Hiyo tipoti ya CAG,TRA,PCCB ambazo ni controversial zinajikanyagakanyaga haziwezi hata kuwapeleka watu mahakamani. Msilete uhuni kama mengi anapenda sana kuishauri wizara ya nishati na madini kwa nini asiwe waziri kivuli wa nishati na madini. Magazeti ya ipp siku hizi ndo yamejua kumkumbusha mkuu wa nchi kuhusu majukumu yake. Mbona hamkumbushi kuhusu ujenzi wa maabara, visima, ujenzi wa mitambo ya gesi pale kinyerezi .... Wajinga wataaendelea kuimba nyimbo za mengi sisi ngija tufanyr kazi

Hayo ni Matumizi mabaya ya vyombo vya Habari, hata ITV wakiwa wanaonyesha wanaonyesha inayomhusu Mengi hupewa Dakika nyingi hata Kama anazindua choo, Mengi roho inamuuma Sana baada ya kutumia Mabilioni lakini badoo Mhongo yupo ,
 
Acha ubege wewe Mengi ndiyo enginia wa yanayomkuta kiongozi bora 2014 Prof. Muhongo, Unahitaji ushahidi gani zaidi kwani kipindi wanalumbania vitalu hukusikia au unajisahaurisha bwana kasinge. Mengi ni Fisadi mkubwa Tanzania hii amefilisi NBC kwa kugoma kulipa madeni aliyokopa, na kama ni mtu makini uliposoma ripoti ya CAG hakuna mahali panamtaja Muhongo kuchukua pesa za Escrow, pia unanisikitisha kama bado umekariri kuwa pesa zile zilikua za umma. napata wasiwasi na ufuatiliaji wako wa mambo, rais alikiri kuwa pesa zile hazikua za umma upo mzee, acha porojo zisizo na mantiki, tunataka maendeleo hatutaki porojo na ushabiki wa kisiasa.

Huyu jamaa ndo namwona bonge la ----- eti Mengi kaifisili NBC kakopa kakataa kulipa ivi ukikopa pesa benk kulipa mbaka utake au??
Au kipindi anakopa akuweka collateral in case akishindwa kulipa zitumike kurecover au unazungumza usichokijua
Amekopa ameshindwa kulipa mari zake zinachukuliwa alizoweka dhamana zinalipa deni na sidhani kama NBC walimpa mkopo bila ya yeye kuweka dhamana
Na kwa akiri ya kawaida Maswi amesimamishwa kupisha uchunguzi bosi wake yupo oficn hii inakuingia akirin
Kama wana nia ya dhati weka wote pemben uchunguzi ufuate
Sio mnatuchezeshea chezo tu pyuuuu
 
Ushahidi wa Muhongo uko wap? Kuna ushahidi wa kutosha kuhusu ufisadi wa Mengi fuatilia mambo usibugizwe maneno na wanasiasa mchwara

Kwani wizara ya Nishati na madini waziriwake nani
Ukisema hamna ushaidi ina maana wizara yote ni safi hamna ufisadi ulipita pale make jambo lolote kubwa kwenye wizara yake lazima anakua na taarifa nalo eti hamna ushaidi katibu wake kasimamishwa kazi na wote wanafanya maamuzi kwa kupeana taarifaa pyuuu
Endelea kusema ufisadi wa mengi na ata siku moja na serekari yenu atujamuona huyo Mengi mahakamani kwa makosa ya ufisadi
 
Wewe unaongea pasipo kua na uakika na unaongea story za vihiweni
Sheria zipo za kuwaadhibu watu wanaokwepa kodi mbona yeye atujawah kusikia kesi yake ata moja ya ukwepaji wa kodi na misaada anayatoa ata kama ana piga madilu yake ila unakuta amewasaidia watu kwa kiasi fulani
Na unavyosema kuhusu rostam kwani mengi ni afisa wa TRA alipewa pesa akae kimya
Na unaposema anawaibia wafanyakazi njoo na ushaidi anamuuibia vip mishaara si wanasign mikataba ya kazi au wao hawafanyi ivo
Na ngoja nikwambie kama mengi angekua mwizi kwa serekari hii anayo ikosoa kila siku wangeisha mfunga tayari kwasababu wao ndo wapo kwenyee mfumo
Kinachofanyika ni wao kumchafua tuu ili hari wao ndo wanamamraka yote
Hawana jipya kama anakwepa kodi wamchukulie hatua sasa wanatuambia sisi tufanyajee
Ni wazi kua Mengi anatumia vyema vyombo vyake vya IPP kufichua maovu yao ndo maana hawampendi wanataka afanye kama walivogeuza TBCCM
Nimemaliza endelea kupaka matopee tu achafuki ng'ooooo

Mengi kawanunua kote huko hata Upaleke ushahidi huwezi kusikilizwa ,Mengi huwa hafichui Maovu kama unavyojidanganya bali hukimbilia Kupakaza Ubaya kwa wananchi pindi akitaka Kitu kisha Akakikosa ni bonge la Mnafki mkubwa, Rostam alijua kuwa asipompa Rushwa Mengi ni Lazima angepakaza kila kona hasa ukizingatia kuwa walikuwa ni maadui wakubwa. Tatizo lenu wafuasi wa Mengi hamtaki kukubali kuwa Baba yenu Mengi ni mwizi no one, wewe Umekariri kuwa Mengi ni MUNGU na kisha la analosema linatoka Mbinguni hata uambiwe nini hutaweza kubadilika.
 
Huyu jamaa ndo namwona bonge la ----- eti Mengi kaifisili NBC kakopa kakataa kulipa ivi ukikopa pesa benk kulipa mbaka utake au??
Au kipindi anakopa akuweka collateral in case akishindwa kulipa zitumike kurecover au unazungumza usichokijua
Amekopa ameshindwa kulipa mari zake zinachukuliwa alizoweka dhamana zinalipa deni na sidhani kama NBC walimpa mkopo bila ya yeye kuweka dhamana
Na kwa akiri ya kawaida Maswi amesimamishwa kupisha uchunguzi bosi wake yupo oficn hii inakuingia akirin
Kama wana nia ya dhati weka wote pemben uchunguzi ufuate
Sio mnatuchezeshea chezo tu pyuuuu
Mengi baada ya kukopa Mabilioni NBC bank miaka ya 90 alikula njama nyaraka zote zikachomwa moto tena kipindi kile tekinologia haikuwa kubwa kama sasa, na hizo pesa zilitumika kuanzisha viwanda vya levola, komesha , maji ya Kilimanjaro na ITV, Mengi alipoteza ushahidi wote hadi NBC ikayumba na kuokolewa na Uwekezaji, wafanyakazi wakongwe wa NBC hawana hamu na Mengi.
 
mkuu hivi unajitambua kweli?au upo upo tu...!mwenzio kataja taasisi 4,wewe unataja taasisi 3.una maana gani?NAOMBA JIBU.Maana Bunge ndilo lililo unganisha taarifa kutoka taasisi 3. nakutoa hitimisho la watuhumiwa,halafu wewe unataka jina la Muhongo kwenye ripoti ya TRA,TAKUKURU na CAG unajua hadidu za rejea walizopewa CAG,TAKUKURU,TRA na PAC?nauliza,hivi uko vizuri kichwani mwako?

Kwa kua umekiri report za cag,pccb hazijamtaja muhongo nami naomba tuliachie hapo. Pili hakuna report ya tra,labda kama unayo yako uiweke hapa.

Hoja yako kuijustify na kamati ya pac na bunge kwa ujumla,nikuachie mwenyewe,binafsi sichukulii kila kinachosemwa na bunge kama ndio ukweli wenyewe,wabunge hawa wanaoongozwa kwa hisia,ushabiki,rushwa wanaweza kuazimia jambo baada ya kupewa mlungura.

Leo kila mtu anamuona lowasa msafi,mtakatifu wakati bunge hilo ndio lililomchafua kua ni mwizi miaka kadhaa iliyopita,wabunge hao wanaopitisha bajeti baada ya kupewa chochote,kumbuka kesi ya jairo kutafta pesa awahonge.

Nipe hoja nyingine ila kutumia bunge kujustify hoja yako naona una matatizo.
 
Back
Top Bottom