Mengi kawanunua kote huko hata Upaleke ushahidi huwezi kusikilizwa ,Mengi huwa hafichui Maovu kama unavyojidanganya bali hukimbilia Kupakaza Ubaya kwa wananchi pindi akitaka Kitu kisha Akakikosa ni bonge la Mnafki mkubwa, Rostam alijua kuwa asipompa Rushwa Mengi ni Lazima angepakaza kila kona hasa ukizingatia kuwa walikuwa ni maadui wakubwa. Tatizo lenu wafuasi wa Mengi hamtaki kukubali kuwa Baba yenu Mengi ni mwizi no one, wewe Umekariri kuwa Mengi ni MUNGU na kisha la analosema linatoka Mbinguni hata uambiwe nini hutaweza kubadilika.
Ushahidi wa Muhongo uko wap? Kuna ushahidi wa kutosha kuhusu ufisadi wa Mengi fuatilia mambo usibugizwe maneno na wanasiasa mchwara
Muhongo lazima aondoke na mahakamani watapelekwa wale wote waliohusika ndivyo alivyotuambia Mwigulu jana au hamkusikia?
Nasikia hata wewe ulikuwa mchepuko wakeMengi ni Fisadi kila kona na Ufisadi wake hupenya mpaka kwenye michepuko maana ana Michepuko balaa, aliachana na mke wake mkubwa kisa Michepuko, Mengi si Kioo cha Jamii, ni Mwizi anaishi kwa mbinu chafu chafu na pindi akishitukiwa hukimbilia kwenye TV zake kupakaza Ubaya na kuomba Huruma za wananchi.
Rostam na Mengi walikuwa Maadui zamani, Lakini sasa si Maadui tena na Pesa aliyompatia Mengi ndiyo imemaliza Ugonvi wao.Kweli mengi kawanunua wote kawazidi adi serekari duh. Noma sana sasa wewe umejuaje kama kawanunua wote
Mengi sio Mungu ila nyinyi mnataka kumpaka matope bila kua na ushaidi
Fisadi hatuoni kesi yake ya kifisadi
Mwizi hatuoni kesi yake ya wizi
Mnyonyaji mnajua nyinyi sisi tunaona anavyowasaidia watu wenye matatizoo
Mmpandikizwa chuki bila kua na ushaidi duuh
Eti rostam kampa mengi rushwa ili asiseme ufisadi wake ili hari tunajua wazi hao wawili hawaivi chungu kimoja
Kuweni na hoja za mashiko mnapoanza kumchafua mtu
Nasikia hata wewe ulikuwa mchepuko wake
Naona ulishuhudia hilo zoezi la kupeana pesa kama Mke wa RostamRostam na Mengi walikuwa Maadui zamani, Lakini sasa si Maadui tena na Pesa aliyompatia Mengi ndiyo imemaliza Ugonvi wao.
Naona ulishuhudia hilo zoezi la kupeana pesa kama Mke wa Rostam
Rostam na Mengi walikuwa Maadui zamani, Lakini sasa si Maadui tena na Pesa aliyompatia Mengi ndiyo imemaliza Ugonvi wao.
Mh.Asumpta mambo?
Kwa nini na Muhongo naye asisimamishe kupisha uchunguzi bali eti awekwe kiporo?
Muhongo lazima aondoke na mahakamani watapelekwa wale wote waliohusika ndivyo alivyotuambia Mwigulu jana au hamkusikia?
Mengi huwa halipi Kodi,Mengi huwaibia wafanyakazi wake kwa kuwalipa mishahara Mibovu sana,Mengi alipokea Rushwa kubwa toka kwa Rostam ili akae kiimya asitoe Siri kuwa Rostam kafanya biashara kahama na mapesa pasipo kulipa kodi, Zile pati za kula Chakula na a Vilema na Albino kweke ni Dili kwani huzitumia kuomba misamaha ya kodi, Mengi hana cha bure akitoa msaada lazima apate kitu. Hayo ni Baadhi ya Madhambi ya Mengi kwani anayo kibao.
Kwani bunge na mkuu wa nchi aliyesema hazikuwa za ummah nani mkubwa zaidi..... Hiyo tipoti ya CAG,TRA,PCCB ambazo ni controversial zinajikanyagakanyaga haziwezi hata kuwapeleka watu mahakamani. Msilete uhuni kama mengi anapenda sana kuishauri wizara ya nishati na madini kwa nini asiwe waziri kivuli wa nishati na madini. Magazeti ya ipp siku hizi ndo yamejua kumkumbusha mkuu wa nchi kuhusu majukumu yake. Mbona hamkumbushi kuhusu ujenzi wa maabara, visima, ujenzi wa mitambo ya gesi pale kinyerezi .... Wajinga wataaendelea kuimba nyimbo za mengi sisi ngija tufanyr kazi
Ushahidi Upi tena? Umeambiwa Mengi ni Mwizi Tambua hilo tu, Sakata la escrow linazigusa wazara Nne. 1- Wizara ya viwanda na Biashara 2- Majaji na mwanasheria Mkuu 3- Wizara ya fedha na Gavana4- Wizara ya Nishati na Madini , iweje Mengi amkomalie Muhongo peke yake ? Kisa Vitalu vya Gesu tu au kuna lingine?
Minyoo minyoo tu.
Vitu vingine mnavyoandika mbona havina logic, unasema Rostam alimpa Mengi rushwa ili kumziba mdomo kuhusu kukwepa kodi, sasa mimi nashangaa kwani Mengi ndo mkaguzi wa kodi? Hiyo rushwa si walitakiwa wapewe TRA?
Inawezekana kweli Mengi katika utajili wake kuna madili aliyofanya visivyo halali, lakini at least amewekeza nchini, ameongeza ajira hata kama ni kwa kulipa mishahara midogo lakini anasevu watu wasiwe panya road.
Hao mnaowatetea wanachukua pesa na kuipeleka nje kiasi kwamba haisaidii Tanzania hata kidogo.