" Kama Mohammed hatoweza kwenda Mlimani, Mlima huenda kwa Mohammed. Ukrain yalipua Kambi kubwa ya kijeshi ya Urusi.

" Kama Mohammed hatoweza kwenda Mlimani, Mlima huenda kwa Mohammed. Ukrain yalipua Kambi kubwa ya kijeshi ya Urusi.

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
And the vice versa is true "If the mountain won't go to Mohammed, then Mohammed must go to the mountain"

Screenshot_2025-07-05-15-18-04-988_com.instagram.android.jpg
 
Habari za Ukraine ukisikiliza ni kama zile zile tu zinajirudia. Nothing new Ukraine apambane kulipua moscow ndio vita itaisha...
 
Habari za Ukraine ukisikiliza ni kama zile zile tu zinajirudia. Nothing new Ukraine apambane kulipua moscow ndio vita itaisha...
Putin anapigana vita ya kuogopa ningekuwa mimi ningeisafisha kabisa Kyiv wacha dunia inite dictator sawa tu
 
Putin anapigana vita ya kuogopa ningekuwa mimi ningeisafisha kabisa Kyiv wacha dunia inite dictator sawa tu
Pengine stock yake imepungua so kunauwezekano kujaribu sana . Pia kuimaliza kiev inabidi mabomu yote aliyonayo kiev ni kubwa sana, according to Zelensky pale white house alisema ni baadhi tu ya sehemu ndio Putin kaharibu haribu na maisha yanaendelea as usual. TRUMP Alidhani kiev ni magofu tupu. And ukraine wanajitahidi kuzuia makombora.

Mabomu yana take time kuyatengeneza na cost ni kubwa, kama alivyosema Trump kuna wakati watoto lazima uwaache wapigane kwanza kisha Daddy unawaamulia wakishakuwa wamechoka au wameumia hapo Wataheshimiana.

Putin kama kuitesa ukraine kaweza ila hadi aamuliwe , na ili kuimaliza Ukraine anahitaji Nuke, sema hana sababu ya kutumia anataka wananchi wachoke wafanye mapinduzi, majuzi kati nilisikia Putin anaitaka Nchi nzima aiunganishe na Russia. Pengine ni sababu Pia ya kutoshambulia kwa kupindukia.
 
Putin alisaidiwa na Iran drones za kutosha tu kuipiga Ukraine, Siku Iran ilipokuwa na shida akaleta za kuleta kuwa ooooh siwezi kuisaidia Iran, unajua asilimia 20 ya waisrael wanaongea kirusi na blahblah nyingine. Sasa ngoja Mabazazi ya NATO yampige kwa staili za kigaidi ndo atajua hajui.
 
Putin anapigana vita ya kuogopa ningekuwa mimi ningeisafisha kabisa Kyiv wacha dunia inite dictator sawa tu
We unafikiri ni rahisi eee... Ona nayeye anapokea kichapo
 
Ila watu humu bwana vichekesho kweli.
 
Putin anapigana vita ya kuogopa ningekuwa mimi ningeisafisha kabisa Kyiv wacha dunia inite dictator sawa tu
Hata yeye anatamani hivyo, lakini anashindwa.

Ila asikate tamaa, akomae tu, labda baada ya miaka 10 ijayo Ukraine inaweza ikadhoofika na hatimae Putin akafanikiwa kuitawala.
 
Pengine stock yake imepungua so kunauwezekano kujaribu sana . Pia kuimaliza kiev inabidi mabomu yote aliyonayo kiev ni kubwa sana, according to Zelensky pale white house alisema ni baadhi tu ya sehemu ndio Putin kaharibu haribu na maisha yanaendelea as usual. TRUMP Alidhani kiev ni magofu tupu. And ukraine wanajitahidi kuzuia makombora.

Mabomu yana take time kuyatengeneza na cost ni kubwa, kama alivyosema Trump kuna wakati watoto lazima uwaache wapigane kwanza kisha Daddy unawaamulia wakishakuwa wamechoka au wameumia hapo Wataheshimiana.

Putin kama kuitesa ukraine kaweza ila hadi aamuliwe , na ili kuimaliza Ukraine anahitaji Nuke, sema hana sababu ya kutumia anataka wananchi wachoke wafanye mapinduzi, majuzi kati nilisikia Putin anaitaka Nchi nzima aiunganishe na Russia. Pengine ni sababu Pia ya kutoshambulia kwa kupindukia.
Ni kweli tusisaau wale ni ndugu kabisa kwanza mtu mwengine kuwatofautisha kazi sana ingekuwa uko Ukraine ni German weeeeeeee MOTO ungewashwa sio wa kitoto..
 
Putin alisaidiwa na Iran drones za kutosha tu kuipiga Ukraine, Siku Iran ilipokuwa na shida akaleta za kuleta kuwa ooooh siwezi kuisaidia Iran, unajua asilimia 20 ya waisrael wanaongea kirusi na blahblah nyingine. Sasa ngoja Mabazazi ya NATO yampige kwa staili za kigaidi ndo atajua hajui.
Ina maana bila drone za Iran Putin asingeipiga Ukraine?

Anyway Iran ina kazi kubwa ya kutafuta ADs nzuri kwa Ulinzi wa anga yake maana zilizopo zilishindwa kuizuia Israel.
 
Putin alisaidiwa na Iran drones za kutosha tu kuipiga Ukraine, Siku Iran ilipokuwa na shida akaleta za kuleta kuwa ooooh siwezi kuisaidia Iran, unajua asilimia 20 ya waisrael wanaongea kirusi na blahblah nyingine. Sasa ngoja Mabazazi ya NATO yampige kwa staili za kigaidi ndo atajua hajui.
1. Huwezi kupigana vita 2 ukabaki salama.
2. Putin alishuhudia Iran anga lake likiteswa ilhal ulinzi wa anga ni yeye alimuuzia Iran.
3. Huenda Urusi ingejiingiza Iran mambo kwake yangeharibikavzaidi, Myahudi sio mtu mzuri😂
 
Back
Top Bottom