Kama Mkristu Mkatoliki Naomba Unishauri!

Pole kwa unayoyapitia, kwa ushauli wangu usiangaike kuhama dhehebu au dini.
kila tunachokipitia kwenye maisha huwa kina makusudi yake akuna bahatimbaya kwenye maisha.
Mungu ameyaruhusu hayo unayoyapitia kwa makusudi, labda kwa sasa ni vigumu kuyaelewa labda mbeleeni ikimpendeza Mungu atakusaidia kuyaelewa. Katika kanisa kunataratibu zake awawezi kumpokea mtu kiolela jaribu kwenda kuongea na parokia ambayo ulibatizwa watafatilia na kujiakikishia kuwa huu mkweri watakupa cheti au kufanya utaratibu ubatizwe upya. Ikishindikana kwenda kwenye hiyo parokia tafuta parokia ya karibu ulipo waeleze na watakusaidia.

- Usijari ndugu kuwa na nia na Mungu atakusaidia maana Mungu hujua yote yaliyo ndani yetu na kama anataka uwe padri utakuwa tu.
kwa kukupa moyo jaribu kusoma maisha ya mtakatifu Agustin alikuwa anafujo za kila namna na alikuwa na mtoto lakini kwa neemaa za Mungu alikuja kuongoka na kuja kuwa padri, askofu na mwalimu wa kanisa.
- Mtakatifu Rita wa kashia aliolewa kwa sababu wazazi walitaka hivyo lakini moyoni alitaka kuwa Sister na Mungu alimjalia kulingana na hitaji la moyo wake.

Angalizo
- usije ukafanya ujanja ujanja wa kukomunika pasipo kustahili kwa imani yetu unapokea hukumu maana Mungu zihakiwi
Ekaristi ni sacrament is not something human invert for religion purpose . Ekaristi zimewekwa na Yesu mwenyewe
Asante Saana Ndugu, Ubarikiwe..
 
Nakushauri nenda parokia unayosali ukaongee na padri umueleze matatizo yako ikiwezekana uanze mafundisho ya komunio upya uombe na kubatizwa pia. Hakuna kinachoshindikana ukiwa muwazi mkuu.

Kristu..
Tumain letu, Kristu Jana..........
 
Hata kama ungekuwa hujabatizwa bado sio shida hata kidogo maana kanisa ni la watu wote...

Ukiwa parokia kama za chuo ni easy sana mchakato wa kupata vyote hauzidi mwaka mmoja
 
...Sasa kwa Utu Uzima wangu Nataka Tushauriane.. Je Naweza Kufatilia Nikapata? Na kwa wakatoliki Wabobezi itachukua Muda Gani Hasa wa Mtu kama Mimi Ambaye Najua Mafundisho ya Kanisa Katoliki na ya Ukristu kwa Undani kabisa.. Kupata Hizo Sakramenti..?? Halafu Kingine Najiuliza Kwanini Haya Yanitokee?? Au Ndio Mungu Hakutaka Niwe Padre??
Ninakujibu kama Mkatoliki. Najua umeiweka hii katika public, kwa hiyo utajibiwa na watu tofauti, wengine watakuvutia kwao, wengine watakukejeli, wengine watakukatisha tamaa.

Sasa jibu ni hili. Paroko ana mamlaka makubwa katika masuala ya sakramenti ndani ya Parokia yake. Nenda kamueleze haya yote Paroko wa Parokia yako. Hakuna Paroko anayeleta mchezo mchezo kwenye sakramenti za Kikatoliki, maana hizo ndio kwa kiwango kikubwa zinazoutambulisha Ukatoliki. Nenda ofisini kwake, ataamua jambo positive kabisa kuhusu ndoto zako.
 
Tumsifu Yesu Kristu!

Nina Jambo Nataka Kuwashirikisha Ndugu Zangu!
Naandika Maneno Haya nikiwa na Huzuni Kubwa Moyoni...Huzuni inayosababishwa na Kutotimiza Ndoto yangu Kubwa ya Utotoni Niliyonayo.. (Tuendelee)..

Mimi ni Kijana wa Miaka 23, Mkatoliki ambaye sijapata Sakramenti za Kikatoliki Pamoja na ya Kwamba Naujua Ukatoliki Vizuri saana!

Nilikuwa na Ndoto Nyingi sana ndani ya Ukatoliki wangu Kubwa hasa ilikuwa Kutaka Kuwa Padre..Bahati Mbaya sana Ndoto zangu Hizi zikawa za Abunuasi...Yaani Hazikufanikiwa na Sina Matumaini Tena Kama zitafanikiwa... sababu Kubwa sijawahi kupata sakramenti ya Komunio na Kipaimara (Na Mpaka sasa Sijapata)

Kwanini Sijapata Sakramenti?
Nilibatizwa Katika Jimbo ambalo baadaye Wazazi wangu Walihama..After Then wakaacha cheti changu cha ubatizo katika hilo Jambo..
Baada ya kuanza shule ya Msingi nikawa Nahudhuria Kanisani kama kawaida Yangu mpaka nilipoanza mafundisho yangu ya Komunio!
Siku Tunaungama ili Tupate Rasmi komunio Ndio siku Najua kumbe sina Cheti Cha Ubatizo, Na Kwa bahati mbaya sana wakati Huo Baba na Mama walikuwa Hawaelewani kwahio hata cheti hakikuweza kufuatiliwa..

Nilikosa Komunio, siku hio naona wenzangu niliofanya nao Mafundisho kwa Miaka Miwili wanapata Komunio NILILIA SANA.. iliniuma Kufanya Mafundisho kwa Muda Mrefu nikiwa na Great Expectations na nilichokuwa nakitaka Nakikosa....Nilikuwa Darasa la 5 wakati Huo..Ikafika Mahala Mama akiniambia niende Kanisani Nakataa.. sitaki Kwenda Kanisani.. Akinilazimisha Kwenda Basi Nitaondoka na Kuishia Mtaani Kuangalia Movies Vibanda Umiza Mpaka Muda wa Kutoka church ufike ndo Nirudi Home..

Nikakata tamaa ya Kwenda Kanisani na Sikuwahi Kupata Motivation ya Kwenda Church Mpaka nafika University.. (Imagine Darasa la 5 Mpaka University).. Ikumbukwe Hapo Nilikuwa Nasoma Makala zote za Kikatoliki Mitandaoni na Kufuatilia Kila kitu Kuhusu Kanisa kuanzia Historia, tamaduni na Mapokeo ya Kanisa + Mitaguso yote ya Kanisa... But still sikuwa na motivation ya Kuhudhuria Kanisani Maana i feel kitu mimi kama sio Complete Catholic Mimi..

Najiwa na Mawazo Mengi Labda ya Kubadili Dhehebu Either Niende Madhehebu Mengine ya kikristu au Nihame Dini Kabisa Niwe Muislamu au dini Nyinginezo Pia... Nafanya Hivi kwa Kuamini Mungu Yupo na Anaishi..

Sasa Hivi Nimebaki Mkristu Jina tu.. Sina Nilipokaa Complete Maana siamini kama im a Complete Catholic Kama Sijapata Hizo Sakramenti..

Sasa kwa Utu Uzima wangu Nataka Tushauriane.. Je Naweza Kufatilia Nikapata? Na kwa wakatoliki Wabobezi itachukua Muda Gani Hasa wa Mtu kama Mimi Ambaye Najua Mafundisho ya Kanisa Katoliki na ya Ukristu kwa Undani kabisa.. Kupata Hizo Sakramenti..??

Halafu Kingine Najiuliza Kwanini Haya Yanitokee?? Au Ndio Mungu Hakutaka Niwe Padre??

Kingine Cha Mwisho Je itakuwa Jambo la Busara Nikibadili Dhehebu au Dini..??

(Nimeandika Haya Kwa Machungu Sana.. Maana nilienda Kanisani Mara Moja Mwaka Jana Nikaona Karibia Watu Wote Niliokaa Nao wamenyanyuka Kupata Komunio Nikabaki Mimi Nimeketi)..

Mwenyezi Mungu Awaongoze Katika Ushauri Wenu Mtakaonipa....Mbarikiwe...!

Tumsifu Yesu Kristu!

Tumsifu Yesu Kristu,

Haina shida, parokia yoyote ambayo ulibatizwa rekodi halisi za watu waliobatizwa hapo miaka yote hiyo parokia ipo hai zinakuwepo.

Cha kufanya, tafuta parokia uliyobatizwa, mwaka na mwezi uliobatizwa, majina ya wazazi wako na mtu aliyekusimamia ubatizo pamoja na majina yako yote ya ubatizo uende hiyo parokia na uwaeleze hilo jambo.

Hicho cheti ni muhimu sana maana hutaweza kupata sakramenti ukitoa Upako wa Wagonjwa bila hicho cheti.

Naimani kitakuwepo wewe tafuta nauli na weka nia ya kukifuatilia, Mungu anakupa changamoto ni vizuri kumuuliza ni nini kusudi lake na wewe katika hali kama hizi na si kila mmoja njia yake ya utumishi kwa Mungu inakuwa imenyooka wengine wanapata changamoto ili kuwa bora zaidi ndo maana pengine umeweza kulifahamu kanisa kwa undani wake na mambo yake.

Kila la heri

Sali Salamu Maria 3, Baba Yetu 3 na Atukuzwe Baba 3 Kabla ya kuanza safari yako.
 
Tumsifu Yesu Kristu!

Nina Jambo Nataka Kuwashirikisha Ndugu Zangu!
Naandika Maneno Haya nikiwa na Huzuni Kubwa Moyoni...Huzuni inayosababishwa na Kutotimiza Ndoto yangu Kubwa ya Utotoni Niliyonayo.. (Tuendelee)..

Mimi ni Kijana wa Miaka 23, Mkatoliki ambaye sijapata Sakramenti za Kikatoliki Pamoja na ya Kwamba Naujua Ukatoliki Vizuri saana!

Nilikuwa na Ndoto Nyingi sana ndani ya Ukatoliki wangu Kubwa hasa ilikuwa Kutaka Kuwa Padre..Bahati Mbaya sana Ndoto zangu Hizi zikawa za Abunuasi...Yaani Hazikufanikiwa na Sina Matumaini Tena Kama zitafanikiwa... sababu Kubwa sijawahi kupata sakramenti ya Komunio na Kipaimara (Na Mpaka sasa Sijapata)

Kwanini Sijapata Sakramenti?
Nilibatizwa Katika Jimbo ambalo baadaye Wazazi wangu Walihama..After Then wakaacha cheti changu cha ubatizo katika hilo Jambo..
Baada ya kuanza shule ya Msingi nikawa Nahudhuria Kanisani kama kawaida Yangu mpaka nilipoanza mafundisho yangu ya Komunio!
Siku Tunaungama ili Tupate Rasmi komunio Ndio siku Najua kumbe sina Cheti Cha Ubatizo, Na Kwa bahati mbaya sana wakati Huo Baba na Mama walikuwa Hawaelewani kwahio hata cheti hakikuweza kufuatiliwa..

Nilikosa Komunio, siku hio naona wenzangu niliofanya nao Mafundisho kwa Miaka Miwili wanapata Komunio NILILIA SANA.. iliniuma Kufanya Mafundisho kwa Muda Mrefu nikiwa na Great Expectations na nilichokuwa nakitaka Nakikosa....Nilikuwa Darasa la 5 wakati Huo..Ikafika Mahala Mama akiniambia niende Kanisani Nakataa.. sitaki Kwenda Kanisani.. Akinilazimisha Kwenda Basi Nitaondoka na Kuishia Mtaani Kuangalia Movies Vibanda Umiza Mpaka Muda wa Kutoka church ufike ndo Nirudi Home..

Nikakata tamaa ya Kwenda Kanisani na Sikuwahi Kupata Motivation ya Kwenda Church Mpaka nafika University.. (Imagine Darasa la 5 Mpaka University).. Ikumbukwe Hapo Nilikuwa Nasoma Makala zote za Kikatoliki Mitandaoni na Kufuatilia Kila kitu Kuhusu Kanisa kuanzia Historia, tamaduni na Mapokeo ya Kanisa + Mitaguso yote ya Kanisa... But still sikuwa na motivation ya Kuhudhuria Kanisani Maana i feel kitu mimi kama sio Complete Catholic Mimi..

Najiwa na Mawazo Mengi Labda ya Kubadili Dhehebu Either Niende Madhehebu Mengine ya kikristu au Nihame Dini Kabisa Niwe Muislamu au dini Nyinginezo Pia... Nafanya Hivi kwa Kuamini Mungu Yupo na Anaishi..

Sasa Hivi Nimebaki Mkristu Jina tu.. Sina Nilipokaa Complete Maana siamini kama im a Complete Catholic Kama Sijapata Hizo Sakramenti..

Sasa kwa Utu Uzima wangu Nataka Tushauriane.. Je Naweza Kufatilia Nikapata? Na kwa wakatoliki Wabobezi itachukua Muda Gani Hasa wa Mtu kama Mimi Ambaye Najua Mafundisho ya Kanisa Katoliki na ya Ukristu kwa Undani kabisa.. Kupata Hizo Sakramenti..??

Halafu Kingine Najiuliza Kwanini Haya Yanitokee?? Au Ndio Mungu Hakutaka Niwe Padre??

Kingine Cha Mwisho Je itakuwa Jambo la Busara Nikibadili Dhehebu au Dini..??

(Nimeandika Haya Kwa Machungu Sana.. Maana nilienda Kanisani Mara Moja Mwaka Jana Nikaona Karibia Watu Wote Niliokaa Nao wamenyanyuka Kupata Komunio Nikabaki Mimi Nimeketi)..

Mwenyezi Mungu Awaongoze Katika Ushauri Wenu Mtakaonipa....Mbarikiwe...!

Tumsifu Yesu Kristu!
Mkuu ondoa shaka, fahamu hujachelewa; cha msingi nenda ktk kanisa lililo karibu nawe, then onana na kasisi yoyote; muelezee shida yako; hapa JF hutapata msaada wowote makini.
 
Hata kama ungekuwa hujabatizwa bado sio shida hata kidogo maana kanisa ni la watu wote...

Ukiwa parokia kama za chuo ni easy sana mchakato wa kupata vyote hauzidi mwaka mmoja
Asantee saana..
 
Mkuu ondoa shaka, fahamu hujachelewa; cha msingi nenda ktk kanisa lililo karibu nawe, then onana na kasisi yoyote; muelezee shida yako; hapa JF hutapata msaada wowote makini.
Bless saana Mwana..
 
Ninakujibu kama Mkatoliki. Najua umeiweka hii katika public, kwa hiyo utajibiwa na watu tofauti, wengine watakuvutia kwao, wengine watakukejeli, wengine watakukatisha tamaa.

Sasa jibu ni hili. Paroko ana mamlaka makubwa katika masuala ya sakramenti ndani ya Parokia yake. Nenda kamueleze haya yote Paroko wa Parokia yako. Hakuna Paroko anayeleta mchezo mchezo kwenye sakramenti za Kikatoliki, maana hizo ndio kwa kiwango kikubwa zinazoutambulisha Ukatoliki. Nenda ofisini kwake, ataamua jambo positive kabisa kuhusu ndoto zako.
Amina sana Ndugu Ubarikiwe..
 
Tumsifu Yesu Kristu,

Haina shida, parokia yoyote ambayo ulibatizwa rekodi halisi za watu waliobatizwa hapo miaka yote hiyo parokia ipo hai zinakuwepo.

Cha kufanya, tafuta parokia uliyobatizwa, mwaka na mwezi uliobatizwa, majina ya wazazi wako na mtu aliyekusimamia ubatizo pamoja na majina yako yote ya ubatizo uende hiyo parokia na uwaeleze hilo jambo.

Hicho cheti ni muhimu sana maana hutaweza kupata sakramenti ukitoa Upako wa Wagonjwa bila hicho cheti.

Naimani kitakuwepo wewe tafuta nauli na weka nia ya kukifuatilia, Mungu anakupa changamoto ni vizuri kumuuliza ni nini kusudi lake na wewe katika hali kama hizi na si kila mmoja njia yake ya utumishi kwa Mungu inakuwa imenyooka wengine wanapata changamoto ili kuwa bora zaidi ndo maana pengine umeweza kulifahamu kanisa kwa undani wake na mambo yake.

Kila la heri

Sali Salamu Maria 3, Baba Yetu 3 na Atukuzwe Baba 3 Kabla ya kuanza safari yako.
Milele Amina..
Daah umenigusaa Saana..
 
Mbona ni kazi rahisi sana. Najua kama ni mkatoliki utakuwa unajua maana ya Jumuiya ndogo ndogo. Hivyo kwenye Jumuiya tuna viongozi wetu ikiwemo M/Kiti. Natumai majibu yote ya matatizo yako yangepata majibu kwa wakati. Ushauri wangu naomba ujiunge na Jumuiya ndg ndg popote ulipo na baada ya hayo haya yote uliyoyandika yawasilishe kwa viongozi wa Jumuiya husika. Natumai utapata msada wa kupata Sakremeti ya Komonio ya kwanza, Kipaimara na hata Ndoa. Nakutakia kila la Kheri.
 
Nakushauri ukafuatilie cheti chako kule wazazi wako walipokiacha na uanze mafundiaho ya wakatekumeni utapewa hizo Sacrament.
Pole sana kwa mfarakano wa kifamilia uliokukosesha masakrament.
 
Nakushauri ukafuatilie cheti chako kule wazazi wako walipokiacha na uanze mafundiaho ya wakatekumeni utapewa hizo Sacrament.
Pole sana kwa mfarakano wa kifamilia uliokukosesha masakrament.
Asaante Saana..
 
Tumsifu Yesu Kristu!

Nina Jambo Nataka Kuwashirikisha Ndugu Zangu!
Naandika Maneno Haya nikiwa na Huzuni Kubwa Moyoni...Huzuni inayosababishwa na Kutotimiza Ndoto yangu Kubwa ya Utotoni Niliyonayo.. (Tuendelee)..

Mimi ni Kijana wa Miaka 23, Mkatoliki ambaye sijapata Sakramenti za Kikatoliki Pamoja na ya Kwamba Naujua Ukatoliki Vizuri saana!

Nilikuwa na Ndoto Nyingi sana ndani ya Ukatoliki wangu Kubwa hasa ilikuwa Kutaka Kuwa Padre..Bahati Mbaya sana Ndoto zangu Hizi zikawa za Abunuasi...Yaani Hazikufanikiwa na Sina Matumaini Tena Kama zitafanikiwa... sababu Kubwa sijawahi kupata sakramenti ya Komunio na Kipaimara (Na Mpaka sasa Sijapata)

Kwanini Sijapata Sakramenti?
Nilibatizwa Katika Jimbo ambalo baadaye Wazazi wangu Walihama..After Then wakaacha cheti changu cha ubatizo katika hilo Jambo..
Baada ya kuanza shule ya Msingi nikawa Nahudhuria Kanisani kama kawaida Yangu mpaka nilipoanza mafundisho yangu ya Komunio!
Siku Tunaungama ili Tupate Rasmi komunio Ndio siku Najua kumbe sina Cheti Cha Ubatizo, Na Kwa bahati mbaya sana wakati Huo Baba na Mama walikuwa Hawaelewani kwahio hata cheti hakikuweza kufuatiliwa..

Nilikosa Komunio, siku hio naona wenzangu niliofanya nao Mafundisho kwa Miaka Miwili wanapata Komunio NILILIA SANA.. iliniuma Kufanya Mafundisho kwa Muda Mrefu nikiwa na Great Expectations na nilichokuwa nakitaka Nakikosa....Nilikuwa Darasa la 5 wakati Huo..Ikafika Mahala Mama akiniambia niende Kanisani Nakataa.. sitaki Kwenda Kanisani.. Akinilazimisha Kwenda Basi Nitaondoka na Kuishia Mtaani Kuangalia Movies Vibanda Umiza Mpaka Muda wa Kutoka church ufike ndo Nirudi Home..

Nikakata tamaa ya Kwenda Kanisani na Sikuwahi Kupata Motivation ya Kwenda Church Mpaka nafika University.. (Imagine Darasa la 5 Mpaka University).. Ikumbukwe Hapo Nilikuwa Nasoma Makala zote za Kikatoliki Mitandaoni na Kufuatilia Kila kitu Kuhusu Kanisa kuanzia Historia, tamaduni na Mapokeo ya Kanisa + Mitaguso yote ya Kanisa... But still sikuwa na motivation ya Kuhudhuria Kanisani Maana i feel kitu mimi kama sio Complete Catholic Mimi..

Najiwa na Mawazo Mengi Labda ya Kubadili Dhehebu Either Niende Madhehebu Mengine ya kikristu au Nihame Dini Kabisa Niwe Muislamu au dini Nyinginezo Pia... Nafanya Hivi kwa Kuamini Mungu Yupo na Anaishi..

Sasa Hivi Nimebaki Mkristu Jina tu.. Sina Nilipokaa Complete Maana siamini kama im a Complete Catholic Kama Sijapata Hizo Sakramenti..

Sasa kwa Utu Uzima wangu Nataka Tushauriane.. Je Naweza Kufatilia Nikapata? Na kwa wakatoliki Wabobezi itachukua Muda Gani Hasa wa Mtu kama Mimi Ambaye Najua Mafundisho ya Kanisa Katoliki na ya Ukristu kwa Undani kabisa.. Kupata Hizo Sakramenti..??

Halafu Kingine Najiuliza Kwanini Haya Yanitokee?? Au Ndio Mungu Hakutaka Niwe Padre??

Kingine Cha Mwisho Je itakuwa Jambo la Busara Nikibadili Dhehebu au Dini..??

(Nimeandika Haya Kwa Machungu Sana.. Maana nilienda Kanisani Mara Moja Mwaka Jana Nikaona Karibia Watu Wote Niliokaa Nao wamenyanyuka Kupata Komunio Nikabaki Mimi Nimeketi)..

Mwenyezi Mungu Awaongoze Katika Ushauri Wenu Mtakaonipa....Mbarikiwe...!

Tumsifu Yesu Kristu!
Uko wapi, bado sana kuna nafasi kubwa na uwezo wa kuwa padri mpk sasa! Hizo scrament unaweza pata tu.

Kikubwa naomba kujua uko wapi na unafanya nini kuanzia hapo I will help you to follow your dream to be a priest/padri.

Cha msingi usiwe umeoa au kuwa na mtoto, binafsi nina 34 kasoro but still nawaza kurudi nikawe padri wito ni kitu cha ajabu mno. Nitafute pm.
 
Tumsifu Yesu Kristu!

Nina Jambo Nataka Kuwashirikisha Ndugu Zangu!
Naandika Maneno Haya nikiwa na Huzuni Kubwa Moyoni...Huzuni inayosababishwa na Kutotimiza Ndoto yangu Kubwa ya Utotoni Niliyonayo.. (Tuendelee)..

Mimi ni Kijana wa Miaka 23, Mkatoliki ambaye sijapata Sakramenti za Kikatoliki Pamoja na ya Kwamba Naujua Ukatoliki Vizuri saana!

Nilikuwa na Ndoto Nyingi sana ndani ya Ukatoliki wangu Kubwa hasa ilikuwa Kutaka Kuwa Padre..Bahati Mbaya sana Ndoto zangu Hizi zikawa za Abunuasi...Yaani Hazikufanikiwa na Sina Matumaini Tena Kama zitafanikiwa... sababu Kubwa sijawahi kupata sakramenti ya Komunio na Kipaimara (Na Mpaka sasa Sijapata)

Kwanini Sijapata Sakramenti?
Nilibatizwa Katika Jimbo ambalo baadaye Wazazi wangu Walihama..After Then wakaacha cheti changu cha ubatizo katika hilo Jambo..
Baada ya kuanza shule ya Msingi nikawa Nahudhuria Kanisani kama kawaida Yangu mpaka nilipoanza mafundisho yangu ya Komunio!
Siku Tunaungama ili Tupate Rasmi komunio Ndio siku Najua kumbe sina Cheti Cha Ubatizo, Na Kwa bahati mbaya sana wakati Huo Baba na Mama walikuwa Hawaelewani kwahio hata cheti hakikuweza kufuatiliwa..

Nilikosa Komunio, siku hio naona wenzangu niliofanya nao Mafundisho kwa Miaka Miwili wanapata Komunio NILILIA SANA.. iliniuma Kufanya Mafundisho kwa Muda Mrefu nikiwa na Great Expectations na nilichokuwa nakitaka Nakikosa....Nilikuwa Darasa la 5 wakati Huo..Ikafika Mahala Mama akiniambia niende Kanisani Nakataa.. sitaki Kwenda Kanisani.. Akinilazimisha Kwenda Basi Nitaondoka na Kuishia Mtaani Kuangalia Movies Vibanda Umiza Mpaka Muda wa Kutoka church ufike ndo Nirudi Home..

Nikakata tamaa ya Kwenda Kanisani na Sikuwahi Kupata Motivation ya Kwenda Church Mpaka nafika University.. (Imagine Darasa la 5 Mpaka University).. Ikumbukwe Hapo Nilikuwa Nasoma Makala zote za Kikatoliki Mitandaoni na Kufuatilia Kila kitu Kuhusu Kanisa kuanzia Historia, tamaduni na Mapokeo ya Kanisa + Mitaguso yote ya Kanisa... But still sikuwa na motivation ya Kuhudhuria Kanisani Maana i feel kitu mimi kama sio Complete Catholic Mimi..

Najiwa na Mawazo Mengi Labda ya Kubadili Dhehebu Either Niende Madhehebu Mengine ya kikristu au Nihame Dini Kabisa Niwe Muislamu au dini Nyinginezo Pia... Nafanya Hivi kwa Kuamini Mungu Yupo na Anaishi..

Sasa Hivi Nimebaki Mkristu Jina tu.. Sina Nilipokaa Complete Maana siamini kama im a Complete Catholic Kama Sijapata Hizo Sakramenti..

Sasa kwa Utu Uzima wangu Nataka Tushauriane.. Je Naweza Kufatilia Nikapata? Na kwa wakatoliki Wabobezi itachukua Muda Gani Hasa wa Mtu kama Mimi Ambaye Najua Mafundisho ya Kanisa Katoliki na ya Ukristu kwa Undani kabisa.. Kupata Hizo Sakramenti..??

Halafu Kingine Najiuliza Kwanini Haya Yanitokee?? Au Ndio Mungu Hakutaka Niwe Padre??

Kingine Cha Mwisho Je itakuwa Jambo la Busara Nikibadili Dhehebu au Dini..??

(Nimeandika Haya Kwa Machungu Sana.. Maana nilienda Kanisani Mara Moja Mwaka Jana Nikaona Karibia Watu Wote Niliokaa Nao wamenyanyuka Kupata Komunio Nikabaki Mimi Nimeketi)..

Mwenyezi Mungu Awaongoze Katika Ushauri Wenu Mtakaonipa....Mbarikiwe...!

Tumsifu Yesu Kristu!

Milele Amina!

Kama unaikumbuka Parokia yako uliyobatizwa basi nenda hapo ukiwa na taarifa zako sahihi kwa maana ya jina lako la Ubatizo, Jina la Baba na la Mama. Pia kama hukumbuki mwaka exactly unaweza wapa range, watacheki kwenye register na wakikupata watakupa Cheti kipya cha Ubatizo kikiwa na details zote!
Sasa ukiisha kipata hicho cheti cha Ubatizo rudi kwenye Parokia yako ya sasa na uongee na uongozi kujua ni kipindi gani mafundisho ya Wakatukumeni yataendeshwa, jiunge nayo na utapatiwa Komunyo ya kwanza na Kipaimara!

Angalizo:
Utafute na Jumuiya mahalia unapoishi ili uwe unasali pamoja na wana jumuiya wenzako, hii itakusaidia sana kwenye process za Masakramenti hayo na hata Ndoa muda ukifika!

Kila la heri na Mungu akuongoze!
 
Back
Top Bottom