1. Ningeaziga jeshi la polisi na vyombo vya dola vifanye uchunguzi na kuwasaka wote waliofanya jaribio la mauaji ya Lissu.
2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.
3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais (presidential decree)
4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao
5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake
6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine
7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika
8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo
9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.
10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.
Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!
2. Ningewaamuru Polisi wasiwapige mabomu wapinzani.
3. Ningefuta sheria zote kandamizi kwa amri ya rais (presidential decree)
4. Ningewaita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kuwaahidi kushughulikia madai yao
5. Ningehakikisha Lissu anapewa msafara mzito wa ulinzi katika kampeni zake
6. Ningemfuta kazi Mkurugenzi wa tume ya uchaguzi na kuteua mwingine
7. Nisingewapigia kampeni wabunge na madiwani wasiopendwa na wananchi wa eneo husika
8. Ningemwita Maalim Seif na kufanya naye mazungumzo
9. Ningemwita Mbowe na Zitto na kufanya nao mazungumzo.
10. Ningeendeleza unyeyekevu kwa kauli, matendo, na kuzungumza kwa upole.
Je, Kama wewe ungekuwa JPM!!!