Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
Nataka majibu yenu wote mnaombeza MHESHIMIWA MBOWE kuwa hana elimu yeyote,sasa najiuliza amewezaje kugombea uraisi miaka ya nyuma ikiwa sheria yetu inataka mgombea uraisi awe mwenye elimu ya degree.Tafadhari naombeni maelezo wale mnasema hana elimu yeyote