Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

Kama mbinguni wanaenda wenye ndoa,basi sitaenda

Mwenzenu nimeamua kuondoka kwangu,mume huyu wangu alinioa kihalali kanisani,leo nimenyoosha mikono najiandaa kuanza maisha peke yangu na wanangu,nimeshindwa,siko tayari kufa kwa ukimwi kwa kuwa sistahili,alinioa bikira na simjui mwanaume yeyote zaidi yake katika dunia hii.
Uzinzi,umalaya,matusi anayonipa,dharau,kejeli na kutokunijali vinanifanya niondoke kwangu,kuanzia leo nimedhamiria kuondoka rasmi,hata nikisikia umeoa chelenje sitakwenda kulalamika popote,kwa sababu najua utakuwa umemuoa mwanamke unayempenda,nimelia sana sasa nimeamua kufuta machozi na kusonga mbele,najua MUNGU HATANIACHA!:wave:

pole sana MUNGU yupo na ww
 
pole sana MUNGU atakusaidia zidi kumuomba kwani yy n muweza wa yote
 
hivi kuna wasichana bado mnaolewa na bikira siku hizi. Masikini, ndio maana unanyanyasika! Hao watu hawana maana yoyote. Hata kama bikira unayo ingiza kidole mpaka itoke. Hiyo heshima hawastahili kabisa. Ndoa zenyewe zote ni Ndoano bikira ya nn?[/QU
people sin I also sin kwenye bold hapo
 
Back
Top Bottom