Wote hawawazi hicho unachofikiria, wako kimya tunawasubiri wakijaliwa 2020 wawanie upya kama katiba mpya itakuwa imepatikana.View attachment 332678 Huu ni ushauri mujarabu kabisa ambao Lowasa anampa Maalim Seif Sharif Hamad. Kukaa kimya ni uungwana. Hakuna atakakoenda ambako kutabadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Zanzibar. Dr Shein ndo Rais
unapoteza muda bure kumjibu elizaboni! huyu akili zake ziko nyuma! mgongoni.Kwa hiyo mkuu Lizaboni unafurahia kilichofanyika Zanzibar...?
Ukiweka ukada na itikadi pembeni, ukatumia akili ....unadhani Seif alichofanyiwa ni sahihi?... vipi ungekuwa wewe
Rajab Rutengwe kada wa CCM aliyekuwa RC Amalia njaa vipi kuhusu wewe?View attachment 332678 Huu ni ushauri mujarabu kabisa ambao Lowasa anampa Maalim Seif Sharif Hamad. Kukaa kimya ni uungwana. Hakuna atakakoenda ambako kutabadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Zanzibar. Dr Shein ndo Rais
ndugu kwani watu wa lumumba akili wanazo?Kwa hiyo mkuu Lizaboni unafurahia kilichofanyika Zanzibar...?
Ukiweka ukada na itikadi pembeni, ukatumia akili ....unadhani Seif alichofanyiwa ni sahihi?... vipi ungekuwa wewe
Seif kajimaliza mwenyewe. Alipaswa kukomaa mpaka hatua ya mwisho. Kakwepa aibuKwa hiyo mkuu Lizaboni unafurahia kilichofanyika Zanzibar...?
Ukiweka ukada na itikadi pembeni, ukatumia akili ....unadhani Seif alichofanyiwa ni sahihi?... vipi ungekuwa wewe
Aibu gani alokwepa na ndie alikuwa mshindi kwenye uchaguzi halali..?. ..Seif kajimaliza mwenyewe. Alipaswa kukomaa mpaka hatua ya mwisho. Kakwepa aibu
Ninyi mafisi..nlikwishaamua kumrudisha shein madarakani kwa nguvu ya dola...kwa hivo Seif hakuwa na sababu ya kupoteza muda kuingia kwenye uchaguzi ambao matokeo yake yalikwisha pangwa Dodoma....ni upuuzi tu munafanya......Mshindi ni Dr Shein ambaye tayari keshaapishwa
Seif kafanyiwa nini?..achana naye bingwa wa kuzira.Kwa hiyo mkuu Lizaboni unafurahia kilichofanyika Zanzibar...?
Ukiweka ukada na itikadi pembeni, ukatumia akili ....unadhani Seif alichofanyiwa ni sahihi?... vipi ungekuwa wewe
Wenye kazi za maana hawa tabia za wafu kama wewe.....Hayo ni ya Rutengwe. Mimi nina kazi zangu ambazo zinanipa riziki ya kutosha
Hayo ni ya Rutengwe. Mimi nina kazi zangu ambazo zinanipa riziki ya kutosha
Luwasa kampa makavu ngoja anune...kwa sasa yeye ni kiongozi wa CUF tu na chama chake kimeshindwa uchaguzi hana hata diwani...ni sawa na Hamad Rashid..Wazanzibar wamewaondowa wahuni wakajifunze kwanza.View attachment 332678 Huu ni ushauri mujarabu kabisa ambao Lowasa anampa Maalim Seif Sharif Hamad. Kukaa kimya ni uungwana. Hakuna atakakoenda ambako kutabadilisha matokeo ya uchaguzi wa Rais wa Zanzibar. Dr Shein ndo Rais
Uko sahihi mkuu,ila kwa Tanzania hao kina Seif,Luwasa...ni wasanii...hadi upinzani utakapopata wanasiasa wa kweli sio hawa mawakala waliopo sasa...bado tupo kwenye "mpito"Wenye kazi za maana hawa tabia za wafu kama wewe.....
Wewe ni kipochi cha watu... Kuwa makini dunia imebadilika jifunze kujenga fikra huru za kujitegemea....
Dunia inabadilika sana... Hata roman empire haikutarajiwa ingeanguka.....
Kazi za kutumwa kutukana waliofanikiwa kimaisha hazitokusaidia zaidi
Dunia inabadilika sana.... Wakati huwezi shindana nao.... Akina Kaunda waliangushwa na upinzani japo walikua waasisi.... Kamuzu Banda aliangushwa ktk mizani huru... Walisoma Nyakati na mazingira.... Wakaheshimu......Uko sahihi mkuu,ila kwa Tanzania hao kina Seif,Luwasa...ni wasanii...hadi upinzani utakapopata wanasiasa wa kweli sio hawa mawakala waliopo sasa...bado tupo kwenye "mpito"