Kama Mavi.

Kama Mavi.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
3,564
Reaction score
1,992
Jamaa mmoja alikuwa anatembea, gafla akaona kitu kama mavi, akashtuka! "Hmm yanaonekana kama mavi?! Hebu nishike nione" akashika... "Doh ni laini kama mavi, lakini ni mavi kweli?! Hebu ninuse" akanusa... "Aah yananuka kama mavi, lakini hmm siamini! Hebu nirambe" akaramba... "Mama wee kumbe ni mavi kweli, nashukuru sijayakanyaga!" Ha ha haa www.majanga.com
 
Afadhali sijaisoma hii thread haha

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Jamaa mmoja alikuwa anatembea, gafla akaona kitu kama mavi, akashtuka! "Hmm yanaonekana kama mavi?! Hebu nishike nione" akashika... "Doh ni laini kama mavi, lakini ni mavi kweli?! Hebu ninuse" akanusa... "Aah yananuka kama mavi, lakini hmm siamini! Hebu nirambe" akaramba... "Mama wee kumbe ni mavi kweli, nashukuru sijayakanyaga!" Ha ha haa www.majanga.com

Ha Ha ha!
Du!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom