Habari wakuu
Tufike muda tuache mihemko, kwanini tuanze kumpangia Mh Rais wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania Samia kuvaa viatu ambavyo wengine hawakuvaa.
Nani aliyevaa viatu vya Nyerere baada ya kifo ..
Nani alivaa viatu vya Mwinyi. Je, Mkapa ?
Huyu ni mheshimiwa Rais kuanza kumlazimisha kuvaa viatu ambavyo sio saa hizi yake sio sawa.
Tumuache achape kazi kadili ya uwezo wake.
Mama Samia chapa kazi, piga kazi sawasawa kulingana na maono yako juu ya watanzania.
Watanzania tunakuamini, unaweza ,tuko na wewe
Uzi tayari.
Tufike muda tuache mihemko, kwanini tuanze kumpangia Mh Rais wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania Samia kuvaa viatu ambavyo wengine hawakuvaa.
Nani aliyevaa viatu vya Nyerere baada ya kifo ..
Nani alivaa viatu vya Mwinyi. Je, Mkapa ?
Huyu ni mheshimiwa Rais kuanza kumlazimisha kuvaa viatu ambavyo sio saa hizi yake sio sawa.
Tumuache achape kazi kadili ya uwezo wake.
Mama Samia chapa kazi, piga kazi sawasawa kulingana na maono yako juu ya watanzania.
Watanzania tunakuamini, unaweza ,tuko na wewe
Uzi tayari.