alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Nafikiri tu!
Hivi ni kiongozi wa aina ipi angefaa kuiongoza nchi hiyo ya wajuaji waliopitiliza namna hiyo!
Kama hapo kabla tulidhani na kutamka bayana kwamba ni kiongozi mwenye hulka za kibabe kama si dikteta ndiye angelitufaa lakini leo JPM tu watu wachache wanathubutu kutumia nguvu kubwa kumpinga ingekuwaje tungempata kama Bokasa!
Ujuaji wetu usiyo na lolote ni kweli tutafika?!
Hivi ni kiongozi wa aina ipi angefaa kuiongoza nchi hiyo ya wajuaji waliopitiliza namna hiyo!
Kama hapo kabla tulidhani na kutamka bayana kwamba ni kiongozi mwenye hulka za kibabe kama si dikteta ndiye angelitufaa lakini leo JPM tu watu wachache wanathubutu kutumia nguvu kubwa kumpinga ingekuwaje tungempata kama Bokasa!
Ujuaji wetu usiyo na lolote ni kweli tutafika?!