Kama madereva wameweza, walimu kinachowashinda ni nini?

Kama madereva wameweza, walimu kinachowashinda ni nini?

mi huwa najiuliza hilo swal kila cku cpat jibu...yan ukiwa mwalim hii nch badala ya kustaw ndo unasinyaa kabsa..
hv laki tatu inaanzaje kukusaidia maisha haya...kijiko tu 500
 
Nikiyasoma maoni yenu naona kabisa mlio wengi mlikuwa watoro darasani, hata huyo Mwalimu hamjui ni mtu wa namna gani! Taifa hilo halijui uharibifu ambao umefanywa na Mwalimu mpaka sasa,ila kwa kuwa wengi mnaotoa maoni ni vilaza mnaona Mwalimu hajagoma, Mwalimu siyo dereva, na hawezi kufanya mambo yake kama dereva!
 
Back
Top Bottom