Haki isipopatikana kwa njia ya majadiliano, basi kuna namna nyingine ya kudai haki hiyo. Jana na leo tumeshuhudia madereva wakigoma na mgomo wao umefanikiwa kwa 98%.
Swali kwa walimu; Kinachowashinda ni nini? Maana migomo yenu imekua na mafanikio 0% na tunaamini nyie ni wasomi zaidi ya madereva, sasa kulikoni mnafeli kudai haki zenu?
Sio uchochezi huu jamani, ila ninahoji failure ya walimu kudai haki zao!!
Kazi njema!!
Walimu hawaendi tena barabarani wala hawaachi kwenda shule, bali watawafundisha madudu watoto wenu.