LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,191
- 11,312
Inasemekana uchawi wa kutisha unahistoria ndefu Africa na ulikuwepo enzi na enzi hadi sasa inasemekana bado uchawi upo. Lakini tukirudi katika enzi za mababu zetu kipindi ambacho wakoloni wanaanza kuingia katika bara letu la Africa, Mababu zetu enzi hizo walisifika kwa uchawi wa kutisha.
Lakini licha ya babu zetu kuwa wachawi na kuabudu mizimu bado walitawaliwa na kuteswa kama wanyama na wakoloni, mababu zetu waliwekwa cheni shingoni na kuuliwa kama kuku pamoja na uchawi wao ambao waloutumia kama kinga.
Je uchawi upo kweli ama ni story za kusadikika? Na kama upo ilikuwaje Babu zetu walishindwa kuwaloga wazungu?
Lakini licha ya babu zetu kuwa wachawi na kuabudu mizimu bado walitawaliwa na kuteswa kama wanyama na wakoloni, mababu zetu waliwekwa cheni shingoni na kuuliwa kama kuku pamoja na uchawi wao ambao waloutumia kama kinga.
Je uchawi upo kweli ama ni story za kusadikika? Na kama upo ilikuwaje Babu zetu walishindwa kuwaloga wazungu?