Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakuu swali nililokuwa najiuliza sikunyingi tangia Jk aanze kuikwepa Arusha ni kama maadhimishi ya miaka 50 yangefanyika
Arusha asingehudhuria? Maana amekuwa akikwepa sana kwenda huko na anapotakiwa kufanya mikutano alituma mwakilishi.
Je ktk hili angefanya je?
Arusha asingehudhuria? Maana amekuwa akikwepa sana kwenda huko na anapotakiwa kufanya mikutano alituma mwakilishi.
Je ktk hili angefanya je?