TB Joshua alimwambia arudishe kwanza pesa zote alizoiba, je amesharudisha?
Hata mm nilikuwa against TB lakini hivi karibuni nimeanza kumfuatilia baada ya kutabiri muda mfupi baada ya ndege ya Malaysia kutoweka,alisema ndege imeangukia bahari ya hindi na ikawa vigumu kuamini kwani hiyo ndege ilikuwa inaelekea China ambako haipitii kabisa Indian Ocean
Hivi majuzi mabaki ya ndege hiyo yameokotwa pwani ya kisiwa cha Reunion ambacho kiko katika bahari ya Hindi.
Acheni kumsingizia mtumishi wa Mungu kwa mambo yenu ya kishabiki wa simba na yanga, TB J ajawai kutamka juuu ya urais wa lowasa, kama lowasa kwenda kwake kusali alishaenda ata Makufuli pia alishaenda lkn swala la uraisi wa hiii nchi anayejua ni Mungu tu.uzushi muachee.
Mungu wa Israel hana nabii za aina hiyo.
Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi lowasa ndo raisi, siku wanafika Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA peplessssssssssssssssssss.
Hapo sasa unataka kusema madaktari hawaugui wala kufa, wanasheria hawahukumiwi wala kufungwa, kama wewe ni mkristo basi hujawahi kusoma biblia au kuhudhuria mafundisho yoyote maana ungejua habari za mambo yaliyowakuta manabii wa Mungu. kwani ukiwa muumini mzuri hupati shida yoyote hapa duniani?
TB Joshua hajawahi kumtabiria Lowassa kuwa atakuwa rais wa Tanzania, hajawahi.
Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi lowasa ndo raisi, siku wanafika Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA peplessssssssssssssssssss.
Thread nyingine bhana, dah uvumilivu unahitajika...huyo jushua kama yeye ni nabii anashindwaje kutatua matatizo yaliopo huko nigeria hadi raisi Buhari anaenda kuomba msaada Marekani, kumbe nabii yupo inakuaje anashindwa kutatua? Acheni ujinga bhana
Mkuu huyo Joshua angekuwa mkali jengo lake lisinge poromoka na kuua waumini lukuki!! Kwa nini hakuweza kutabiri in advance what was coming kwenye nyumba yake ya ibada?
Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa?
Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika wakasema apana akawambia nendeni nchini kwenu mkafanye uchaguzi lowasa ndo raisi, siku wanafika Tanzania wakakuta ndo siku Lowassa anajiunga na CHADEMA peplessssssssssssssssssss.
TB Joshua hyo baba ni msema kweli.. na lowasa ndie anaenda kuwa rais wa tanzania, nasema na iwe ivyo