falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
nitaweka video soon msijaliNdugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.
Ndugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.
Ndugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.
sapoti za freemason
HuyoTB JOSHUA yupo tu kumbe? sikuhizi simsikii sana kwa watu kama zamani, kidogo tu utasikia ANNOINTED WATER mara UTABIRI WA NINI SIJUI.... Bora hata angetabiliwa na Gwajima hahhahahaaaaaaa
Katika moja ya vikao vya bunge la Jamhuri ya Muungano TZ, kuna mbunge mwanamke alimfagilia sana E. Lowassa; na pia gazeti moja la kila wiki nchini lilimnukuu mbunge huyo mwanamama kutoka Tanga akisema alipoenda Nigeria aliambiwa na Mtumishi maarufu wa mungu nabiiTB Joshua kwamba mh.Lowassa ndiye rais ajaye wa Tanzania.
Sasa inakuwaje tunasikia katika makundi ndani ya CCM(mafisadi) kundi lake ndilo hutumia fedha kwa kiasi kikubwa ili kupenyeza watu wake kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya chama na serikali; huku yeye Lowassa akijiandaa kugombea urais kwa tiketi ya ccm kwa kutumia fedha? Je, hauamini unabii uliotolewa juu yake na TB Joshua? Kwa nini amsaidie mungu kukamilisha unabii wake? Au huyo, mbunge mwanamama alikuwa mzushi tu?
Mh. E. Lowassa akiwa Nigeria akishiriki ibada katika SOAN na mwenye kipaza sauti ni nabii TB Joshua
mwaka jana.
Mkuu watu wa nchi hii wanapaswa kuingizwa kwenye orodha ya maajabu ya DuniaHainiingii akilini kwa mtu mwenye fikra ya kawaida kutumia muda kuzungumzia habari za Lowasa kuwa rais. Inakuwaje watu kuzungumzia mtu anayetumia pesa nyingi kutafuta ikulu (rejea hotuba ya Nyerere). Inakuwaje watu kuzungumzia urais kwa mtu aliyeshindwa hata kumaliza kipindi kimoja cha Uwaziri Mkuu, tena aliyefukuzwa kwa kashfa mbaya ya ufisadi!!!!
Tunahitaji kama vija kuhoji uzalendo wetu na uwezo wetu wa kufikiri. Teupuke kuwa makuwadi wa Mafisadi. Ni dhambi mbaya. Epuka kutumika.
Chamsingi watu tuache tabia ya kushabikia speculations za mtaani instead let's focus on real issues. Hakuna mtu ambae anaweza fanya campaign bila hela na kama mtu ana ushahidi wa hizo hela zinazogawiwa hovyo then atupe ushaidi tuufanyie kazi.
kama wewe ni mwanausalama katika vyombo vyetu huoni kama ingekuwa busara kukaa kimya kuliko kuvivua nguo vyombo vyetu.twiga kule KIA hawakuonekana mtawezaje kuona pesa inayobebwa mfukoni mwa mtuChamsingi watu tuache tabia ya kushabikia speculations za mtaani instead let's focus on real issues. Hakuna mtu ambae anaweza fanya campaign bila hela na kama mtu ana ushahidi wa hizo hela zinazogawiwa hovyo then atupe ushaidi tuufanyie kazi.
Hivi kumbe mmeshaanza campaign au wewe ndo hujui unachokiandikaKutumia hela sio tatizo kwenye campaign as long as hiyo hela inakutana na maitaji ya gharama za uendeshaji campaign.
Labda wewe utupe ushahidi ulionao ambao unaona Mh Lowassa anatumia hela zake vibaya.
Ndugu wanajamii wenzangu yule nabii joshua kutoka Nigeria ametabiri rais ajaye ni lowasa.je itatimia?yetu macho.ila kwa mvuto aliokuwa nao wakati wakusaka wadhamini utakubali tuu.