kama kweli we dereva litoe hapo....

kama kweli we dereva litoe hapo....

businezz_oligarch

Senior Member
Joined
Dec 16, 2012
Posts
145
Reaction score
35
BAtB4E2CYAEst1r.jpg
 
Aliyelijengea hapo hakutaka litolewe. Dereva mzuri utaheshimu matakwa yake.
 
Kulitoa kwa kuendesha haiwezekani labda kuliburuza kwa kamba.
 
Kwanza natoa hiyo spare tail ya nyuma!
Naingia kama dreva kwelikweli, naiwasha gari "nachekecha" huwa 2naita "kata kubwa"kama anayekata kona lazima utapata upenyo na gari itatoka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom