Dereva anatafuta bajaji ya mkataba

Dereva anatafuta bajaji ya mkataba

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,603
Reaction score
11,317
Kuna dereva anatafuta bajaji ya kuendesha ya mkataba kwa maeneo ya dar es salaam..

Yupo tayari kufanya kazi mahali popote ndani ya dar es salaam.
Ni dereva mwaminifu.

Terms na vigezo vya mkataba vitaongeleka baada ya kukutana.

Kama unabajaji na unapata changamoto ya dereva PM yangu ipo wazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom