F9T
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,646
- 4,893
Tofautisha kati ya udhaifu na Ukamilifu.Kwamba Mungu aliumba vitu dhaifu?
Kama ni hivyo Uumbaji wa Mungu ni dhaifu na una makosa mengi sana.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sifa ya Ukamilifu ni kutokua na MWANZO Wala MWISHO .
so chochote' chenye mwanzo kina mwisho lakini haimaanishi kitu hicho ni DHAIFU .😂😂