live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 790
- 1,264
Naona kitambulisho cha Taifa kimeshika hatamu kila sehemu kinahitajika
KUPATA AJIRA
KUPATA PASS YA KUSAFIRIA
KUFUNGUA KAMPUNI
USAJILI WA LAINI ZA SIMU
Lakini cha ajabu katika kupiga kura ya kuchagua Raisi, wabunge na madiwani huwa hakihitajiki
Mi nafikiri kuchagua raisi, wabunge na madiwani ni kitu muhimu sana kwa sababu unachagua serikali itakayo kaa madarakani miaka 5 hivyo wapiga kura ilitakiwa ni lazima wawe na kitambulisho cha Taifa
Lakini kwa kuwa hili la kupiga kura linagusa matumbo yao hapo kitambulisho cha Taifa sio lazima
Sheria za nchi hii zinachekesha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
KUPATA AJIRA
KUPATA PASS YA KUSAFIRIA
KUFUNGUA KAMPUNI
USAJILI WA LAINI ZA SIMU
Lakini cha ajabu katika kupiga kura ya kuchagua Raisi, wabunge na madiwani huwa hakihitajiki
Mi nafikiri kuchagua raisi, wabunge na madiwani ni kitu muhimu sana kwa sababu unachagua serikali itakayo kaa madarakani miaka 5 hivyo wapiga kura ilitakiwa ni lazima wawe na kitambulisho cha Taifa
Lakini kwa kuwa hili la kupiga kura linagusa matumbo yao hapo kitambulisho cha Taifa sio lazima
Sheria za nchi hii zinachekesha sana
Sent using Jamii Forums mobile app