GE2025 Kama kuwa Mtoto wa Rais ni tiketi ya kutajirika tuoneshe Buggati ya mabilioni ya Madaraka Nyerere na Jesca Magufuli

GE2025 Kama kuwa Mtoto wa Rais ni tiketi ya kutajirika tuoneshe Buggati ya mabilioni ya Madaraka Nyerere na Jesca Magufuli

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kwenye press yake Jana Mgombea Udiwani Kariakoo, Haji Manara katetea kitendo cha Abdul kumiliki magari ya kifahari eti ni haki yako sababu ni mama yake ni Rais. Huu utetezi wa kihuni ungeupeleka Kwa Wahuni wenzio.
Tuwekee video yake mkuu
 
Kwenye press yake Jana Mgombea Udiwani Kariakoo, Haji Manara katetea kitendo cha Abdul kumiliki magari ya kifahari eti ni haki yako sababu ni mama yake ni Rais. Huu utetezi wa kihuni ungeupeleka Kwa Wahuni wenzio.
Hiyo kauli tu inatakiwa kuchukuliwa ni kauli ya kuhimiza uhujumu uchumi.

Kuwa mtoto wa raisi haimaaishi kuwa tajiri.
 
Kwenye press yake Jana Mgombea Udiwani Kariakoo, Haji Manara katetea kitendo cha Abdul kumiliki magari ya kifahari eti ni haki yako sababu ni mama yake ni Rais. Huu utetezi wa kihuni ungeupeleka Kwa Wahuni wenzio.
Na wewe utuambie ni haramu kwa mtoto wa Rais kuwa tajiri.
 

Huu utetezi wa kihuni
Si wa kihuni bali wa kihujuma. Anamuhujumu Abduli na anamuhujumu Mama.
1. Anamuhujumu Abduli kuwa Hana uwezo wa kujitafutia Mali zake Binafsi kwa hiyo anategemea fedha za Mama hivyo, anautangazia Umma kuwa tusimuamini Abduli. Hii ni hujuma kubwa sana!!

2. Anamuhujumu Mama na Baba Abduli kuwa hawakuwa na Malezi mema kwa mtoto wao kiasi kwamba bado wanamlea kwa Kila kitu mpaka Sasa. Hii ni hujuma Kuu pia.

Kwa hiyo, Haji adhibitiwe na kuonywa kujihusisha kuwasemea viongozi ana wanafamilia ama marafiki zao. Akikaidi, apelekwe mahakamani!
 
Back
Top Bottom