raisi2020 Member Mar 4, 2016 82 83 Nov 21, 2016 #1 Kama naona kuna kamvua ka sheree za uhuru ie 9th december,au ninyi mnaona vipi???????????
Robot la Matope JF-Expert Member Apr 10, 2015 7,041 13,689 Nov 21, 2016 #2 Mimi naona kiangaziiiiii tu. Jua linanyesha/linawaka mpaka azinaaa
M Mangi flani hivi JF-Expert Member Jan 2, 2016 2,026 3,100 Nov 21, 2016 #3 We mleta mada unamkumbushia nini huyu Jamaa??? Mbona alikuwa amesahau......
Geechie JF-Expert Member Oct 26, 2015 977 760 Nov 21, 2016 #4 Ifike tu siku tulale nyumbani maana nahisi itakuwa ijumaa weekend iwe ndefu.
raisi2020 Member Mar 4, 2016 82 83 Nov 21, 2016 Thread starter #5 Robot la Matope nimecheka sana hii comment yako,mi naona kabaridi kwa mbali,upepo wa mafua