Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu

Uchaguz Wa Mwaka Huu Ni Wakipumbavu,vyama Vinashindana Kujaza Watu Badala Ya Kushindana Sera...Ccm Walikodi Uda Leo Ukawa Wamerudia Kilekile Huu Ni Ujinga..Uchaguz Umejaa Kukomoana Mara Lowassa Anasema Mkuu Ndo Alitoa Idhin Kusaini Mkataba Wa Richmond Kwahyo Hausiki,huku Mwakyembe Nae Anasema Lowassa Alihusika.Sasa Tumuelewe Nan?Walikuwepo wap Miaka 7 Yote?Huu Ni Upumbavu,tuchague Viongoz Tunaowaona Hawamkomoi Mtu Yoyote Huyu Mwakyembe Alikuwa Wap Kumpeleka Mahakaman?Huyu Lowassa Mpaka Anajiuzulu Alikua Wap Kusema Ukwel?

Unatakiwa kwanza uwajue vizuri wapiga kura watanzania. Habari ya sera iwe nzuri au mbaya hawajui sanasana watakariri kiongozi gani kasema nini. Tuanze na mabadiliko yatatufikisha mahali watu wana uwezo wa hata kutafuta sera zi wapi. Otherwise kila mtu ana haki ya kupiga kura shida ni sifa anazo? Vumilia hivyohivyo.
 
Walimwengu hivi mmefungwa ufahamu?hivi ni vyama vitano na bado watu wametoka mikoani wakati ccm ilikuwa ni chama kimoja tu,ndo maana mnaitwa wapumbavu
 
3X6A6344.jpg
Wanabodi,

nimepita hapa Jangwani kwenye uzinduzi wa kampeni za UKAWA, mchana huu saa 8:45, kitu nilichokishuhudia, Kama Kipimo Cha Ushindi ni Idadi ya Watu, then, Lowassa Ndiye Rais Wetu!. Kwa upande huu wa idadi ya watu wa leo, nikilinganisha na idadi ya watu siku ya ufunguzi wa Mkutano wa CCM, then, CCM imepigwa chini, imeangushwa Chali!, Imeshindwa Vibaya!.

Hii inamaanisha, kama umati huu wote wamejiandikisha, na wote watajitokeza kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi, hata CCM waibe vipi kura, kwa kuitumia NEC, kura hazitatosha, mshindi wa uchaguzi huu bado atakuwa ni Edward Lowassa!.

Lakini kama ni kweli, hawa wenye boda boda, bajaj na umati uliojitokeza wamehongwa pesa ili kuleta tuu ujazo wa wingi wa watu, lakini hawajajiandikisha kupiga kura na sii wapiga kura, then hakuna ubishi, mshindi ataendelea kuwa ni CCM!.

Hata kwa akili ya matope, huo umati wote utauhonga benki ya dunia au?
 
Walimwengu hivi mmefungwa ufahamu?hivi ni vyama vitano na bado watu wametoka mikoani wakati ccm ilikuwa ni chama kimoja tu,ndo maana mnaitwa wapumbavu

"Watanzania wanahtaj mabadlko, wacpoyapata..." Kipaumbele ni Elimu tu, toka la kwanza had Chuo Kikuu na c kdato cha 4.
 
Mwaka 2010 kulikuwa na habari kwamba Maalim Seif alishinda beyond reasonably doubt uRais wa Zanzibar, ila aliitwa na wana usalama akaambiwa kuna option moja tu. Hawezi kupewa nchi na wanachoweza ''kumsaidia'' ni kumpa uVP. Akanywea. Yaliyofuata wote tunajua.

I hope and pray hii kitu isijerudiwa mwaka huu hapa kwetu.
 
...Hii inamaanisha, kama umati huu wote wamejiandikisha, na wote watajitokeza kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi, hata CCM waibe vipi kura, kwa kuitumia NEC, kura hazitatosha, mshindi wa uchaguzi huu bado atakuwa ni Edward Lowassa!...
Kwa mara nyingine unajidanganya. Kumbuka nyomi hilo linawakilisha vyama zaidi ya vitatu, na leo mgombea urais kupitia UKAWA ameamua kutuacha kwenye mataa tena bila hata huruma. Ya kuambiwa changanya na zako.
 
Unatakiwa kwanza uwajue vizuri wapiga kura watanzania. Habari ya sera iwe nzuri au mbaya hawajui sanasana watakariri kiongozi gani kasema nini...
Unatudharau wapiga kura na bado unataka tukupigie kura?
 
Kwa mara nyingine unajidanganya. Kumbuka nyomi hilo linawakilisha vyama zaidi ya vitatu, na leo mgombea urais kupitia UKAWA ameamua kutuacha kwenye mataa tena bila hata huruma. Ya kuambiwa changanya na zako.

Sio ndio maana ya kuungana, au?

Kama una wagombea wanne wakapigiwa kura na matokeo yakawa hivi:

1. Mgombea A wa CHADEMA kura 2,000,000

2. Mgombea B wa CCM kura 3,000,000

3. Mgombea C wa CUF kura 1,000,000

4. Mgombea D wa NCCR kura 1,500,000

Nani atakuwa mshindi hapa? Kwa takwimu hizo ni wazi watakuwa CCM kwa kupata kura nyingi kuwazidi wengine!!

Lakini hebu combine za CUF, CHADEMA na NCCR Mageuzi utapata hizi hapa 2,000,000 + 1,000,000 + 1,500,000 = 4,500,000. Hapa maana yake ni kuwa hawa walioingana watamshinda wa CCM kwa tofauti ya kura 1,500,000!!

Hoi ndivyo yatajavyokuwa matokeo ya uchaguzi mwaka huu. CCM itapigwa chini tuuuuu!!

Ishu ya uwingi wa watu ktk mikutano ya kampeni za chama chochote sio final determinant factor ya kuwa mgombea atapata kura.

Kwa namna yoyote ile inashauriwa watu wajitokeze kwa wingi ktk kila mkutano wa mgombea yoyote wa chama chochote ili wasikilize na waelewe mipango yake, sera zake na mikakati yake ya kuiletea maendeleo nchi na wananchi wake ktk nyanja zote za maisha yao.

Kwa namna hii ndivyo ambavyo mpiga kura ataamua aipeleke wapi kura yake!!
 
3X6A6344.jpg
Wanabodi,

nimepita hapa Jangwani kwenye uzinduzi wa kampeni za UKAWA, mchana huu saa 8:45, kitu nilichokishuhudia, Kama Kipimo Cha Ushindi ni Idadi ya Watu, then, Lowassa Ndiye Rais Wetu!. Kwa upande huu wa idadi ya watu wa leo, nikilinganisha na idadi ya watu siku ya ufunguzi wa Mkutano wa CCM, then, CCM imepigwa chini, imeangushwa Chali!, Imeshindwa Vibaya!.

Hii inamaanisha, kama umati huu wote wamejiandikisha, na wote watajitokeza kupiga kura hiyo siku ya uchaguzi, hata CCM waibe vipi kura, kwa kuitumia NEC, kura hazitatosha, mshindi wa uchaguzi huu bado atakuwa ni Edward Lowassa!.

Lakini kama ni kweli, hawa wenye boda boda, bajaj na umati uliojitokeza wamehongwa pesa ili kuleta tuu ujazo wa wingi wa watu, lakini hawajajiandikisha kupiga kura na sii wapiga kura, then hakuna ubishi, mshindi ataendelea kuwa ni CCM!.

Pa
sco wa jf, sio mwanachama, mfuasi au mshabiki wa chama chochote cha siasa, au mgombea yoyote, bali ni mkereketwa wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge, ambaye anaamini kwenye ukweli na uwazi!.

Pasco

Wewe ni mfuasi wa lowasa kwa msingi huo huwezi kujikunyata kwenye blanketi la eti mwanaharakati wa demokrasia.umeshashusha heshima ya uchambuzi humu
 
Back
Top Bottom