PostGE2025 Kama kilinukishwa kiduchu Lissu akiwa gerezani, je angekuwa nje? Kumbe watu wanataka mabadiliko

PostGE2025 Kama kilinukishwa kiduchu Lissu akiwa gerezani, je angekuwa nje? Kumbe watu wanataka mabadiliko

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,773
Reaction score
5,930
Sio Lissu peke yake. Wala sio Heche wala sio CHADEMA wanaotaka mabadiliko.

Ufisadi, utekwaji na upendeleo ukomeshwe.

Je, Lissu asigekuwa amewekwa ndani? Kingenuka vipi?
 
Sio Lissu peke yake. Wala sio Heche wala sio CHADEMA wanaotaka mabadiliko.

Ufisadi, utekwaji na upendeleo ukomeshwe.

Je, Lissu asigekuwa amewekwa ndani? Kingenuka vipi?
Huyo amekuwa mshauri siku zote tena mwenye nia njema shida ilikuwa ikitokea tu pale wahuni walipo jaribu kumnyamazisha,ila wangepata faida kubwa kwa kuwa ni mwona mbali,kitu ambacho ajabu na kweli utwawala wa ccm a.k.a chukua chako mapema hawako tayari kisikia wala kuvumilia hadi wakati Watanzania wanaamua kujichukulia sheria mkononi kuidai haki iliyoporwa kwa kipindi kirefu!Na kukutwa na ukatili usio mithilika wa utwawala wa wa kupora wa wanachukua chako mapema.
 
Ukimtaja Lissu utasababisha Masheikh wa Bakwata waanze tena kupiga kelele za kutaka Chadema ifutiwe usajili.
 
Back
Top Bottom