Kama kikokotoo kipya ni matokeo ya actuarial valuation ya mifuko, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi atumbuliwe? Tusishangilie tuu...mwishowe...

Mswaada mpaka Kuwa Sheria unapita Kwenye Mikono, Taaasisi Na Mamlaka kadhaa
Irene Isaka alitetea mswada kama ulivyoandaliwa, alifanya kazi yake
Iwe kuna makosa au la, jambo muhimu ni kuwa alifanya kazi yake
Mswada ulipitiwa na waziri (serikali)
Mwanasheria mkuu akaungalia kisheria (serikali)
Bungeni alikuwepo kiongozi wa serikali (Waziri mkuu)
Bungeni walikuwepo wabunge wanaopaswa kuuchambua mswada(wengi ni wa CCM)

Mh Rais anapoita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kutatua tatizo pale pale tunapata ujumbe
Ujumbe ni kuwa wasaidizi wake hawamsaidii, wabunge wake hawamsaidii

Kama Irene angekuwa na msimamo tofauti na serikali, alikuwa na chaguo moja 'kujiuzulu'
Kwavile hakuna pingamizi la serikali Irene aliendelea na kutoa elimu kwa kile anachoamini na serikali inachoamini

Irene naona ni 'bangusilo' tu. Ilibidi atolewe kafara ili 'script' isomeke vizuri
Kama ingalikuwa kutumbuliwa ni suala la kuwajibika,kuna mlolongo mrefu wangetumbuliwa jana hiyo hiyo
 
View attachment 980871Wanabodi
Jana nilibahatika kufustilia mkutano wa Rais Magufuli uliofuta kikokotoo kipya na kurejesha cha zamani.

Taarifa ya Waziri Mhagama ilieleza uamuzi wa kikokotoo kipya ni kufuatia actuarial valuation ya afya ya mifuko iliyobaini mifuko ina hali mbaya ambapo kikokotoo cha 1:500 kingeiua mifuko ya PSPS na LAPF.

Bila kuingilia mamlaka ya rais ku hire and fire as he pleases, kama taarifa hiyo ya actuarial ni kweli, mifuko ina hali mbaya, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi kupelekea kutumbuliwa?.

Hii ni kufuatia kila anayetumbuliwa kuonekana ni jipu mbele ya jamii, kuna uwezekano baadhi wanaotumbuliwa sio majipu bali ni kondoo tuu wa kafara?.

Wataam wa masuala ya pensheni tufafanulieni, kama taarifa ya Waziri Mhagama imesema hali ya mifuko ni mbaya, kikokotoo kingeendelea mifuko ingekufa, sasa rais amekirudisha, jee mifuko hiyo italipa pensheni hizo nene kwa uwezo upi, tusije kujikuta kwa sasa tunashangilia tuu halafu baadae tunakuja kukaza mikanda kwa government bail out kwa hazina yetu?.

Ukimwangalia the way she looks, nimemkumbuka yule mama wa TIC aliyetumbuliwa, usikute... it was just the most opportune moment to strike

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?! - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums

P.
Kilasiku siasa washukuriwe watumish wa rungwe (mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katumbuliwa kwa vile alishindwa kuisimamia mifuko ili iwe na discipline ya matumizi ya pesa za wanachama wake ndo hizo pesa zinatengeneza kalebda za mabilioni kitu ambacho hakina manufaa kwa wanachama,kujenga majengo yasiyo na manufaa kwa wanachama,wanasiasa kujichotea pesa nyingi kutoka kwenye mifuko, badala yake akaipa mifuko nguvu ya kuwakandamiza wanachama wake. Mwambie kama kakutuma uje kumsafisha,nenda kaongee na Mjomba pale Magogoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama mifuko ina utendaji mbovu...yeye anakuwaje mchapakazi bora kama ameshindwa kuisimamia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Angalia mazingira yake ndipo utoe judement...Bado tunamheshimu Baba wa taifa...he was a good man, mzalendo wa ukweli, mchapa kazi wa ukweli, he loved his people, hakuwa fisadi but still nchi hii ilikuwa katika hali mbaya kiuchumi na tuliendelea kuwa 'ombaomba' kama taifa..
 
Sasa kama mifuko ina utendaji mbovu...yeye anakuwaje mchapakazi bora kama ameshindwa kuisimamia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimewahi kubahatika 'kulichambua' shirika hili in and out and I know what I am talking.kwa mashirika ya umma SSRA iko mbele kiutendaji na hata kimfumo..lakini ndiyo hivyo tena...taasisi hizi za umma zinakodolewa na watu wengi..majungu hayakosi...Unaweza ukawa mchapa kazi lakini mazingira yaliyopo yakakukoponza...
 
View attachment 980871Wanabodi
Jana nilibahatika kufustilia mkutano wa Rais Magufuli uliofuta kikokotoo kipya na kurejesha cha zamani.

Taarifa ya Waziri Mhagama ilieleza uamuzi wa kikokotoo kipya ni kufuatia actuarial valuation ya afya ya mifuko iliyobaini mifuko ina hali mbaya ambapo kikokotoo cha 1:580 ni kile kile kwa sheria zote mbili ila tofauti ni malipo ya mkupuo kuendelea kulipa 50% kungeiua mifuko ya PSPS na LAPF hivyo ikaamuliwa malipo ya mkupuo yawe 25% badala ya 50% halafu ile 75% iwe distributed evenly for the rest of your life ambapo monthly pension inakuwa kubwa zaidi

Watanzania ni watu wajinga na wa ajabu, kuwahi kutokea duniani, wanashangilia kikokotoo kile kile na hakuna tofauti ya formula ya kikokotoo bado ni ile ile hebu someni bandiko hili mshuhudie jinsi tulivyo wajinga



Swali langu ni bila kuingilia mamlaka ya rais ku hire and fire as he pleases, kama taarifa hiyo ya actuarial ni kweli, mifuko ina hali mbaya, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi kupelekea kutumbuliwa?.

Hii ni kufuatia kila anayetumbuliwa kuonekana ni jipu mbele ya jamii, kuna uwezekano baadhi wanaotumbuliwa sio majipu bali ni kondoo tuu wa kafara?.

Wataam wa masuala ya pensheni tufafanulieni, kama taarifa ya Waziri Mhagama imesema hali ya mifuko ni mbaya, kikokotoo kingeendelea mifuko ingekufa, sasa rais amekirudisha, jee mifuko hiyo italipa pensheni hizo nene kwa uwezo upi, tusije kujikuta kwa sasa tunashangilia tuu halafu baadae tunakuja kukaza mikanda kwa government bail out kwa hazina yetu?.

Ukimwangalia the way she looks, nimemkumbuka yule mama wa TIC aliyetumbuliwa, usikute... it was just the most opportune moment to strike

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?! - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums

P.
Huo Mfuko mpya haujafanyiwa actuarial evaluation kwa sababu hata merging haijakamilika. Merging inakamilika February 2019 ambapo handing over itakuwa complete na endapo itaonekana kuwa muda hautoshi, Waziri mwenye dhamana anaweza kuongeza muda wa makabidhiano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Irene Isaka alitetea mswada kama ulivyoandaliwa, alifanya kazi yake
Iwe kuna makosa au la, jambo muhimu ni kuwa alifanya kazi yake
Mswada ulipitiwa na waziri (serikali)
Mwanasheria mkuu akaungalia kisheria (serikali)
Bungeni alikuwepo kiongozi wa serikali (Waziri mkuu)
Bungeni walikuwepo wabunge wanaopaswa kuuchambua mswada(wengi ni wa CCM)

Mh Rais anapoita viongozi wa vyama vya wafanyakazi na kutatua tatizo pale pale tunapata ujumbe
Ujumbe ni kuwa wasaidizi wake hawamsaidii, wabunge wake hawamsaidii

Kama Irene angekuwa na msimamo tofauti na serikali, alikuwa na chaguo moja 'kujiuzulu'
Kwavile hakuna pingamizi la serikali Irene aliendelea na kutoa elimu kwa kile anachoamini na serikali inachoamini

Irene naona ni 'bangusilo' tu. Ilibidi atolewe kafara ili 'script' isomeke vizuri
Kama ingalikuwa kutumbuliwa ni suala la kuwajibika,kuna mlolongo mrefu wangetumbuliwa jana hiyo hiyo
Umeandika vizuri mkuu Nguruvi3

Ukimsikiliza mh Raisi between the words utasikia aliwalaumu pia hao watu wanaojiita wabunge ambao hao baada ya kustaafu hulipwa 100%. Na alisema lazima tuiangalie sheria kama ukifanyiwa wewe itakuaje.

Pia Irine yeye shida kubwa ni kushindwa kuisimamia mifuko ya hifadhi ya jamii na kusababisha vitu vifuatavyo kulingana na mkutano ule
- Mifuko kufanya uwekezaji usuo na tija kwa mifuko na wanachama. Pia mifuko kufanya uwekezaji ki ufisadi
- Kushindwa kuweka sheria sawa, rejea makato ya wages na salary huku kila mfuko ukiwa na definition yake ya salary na wages kitu kinachoathili total contributions wakati kikokotoo kitabaki sawa.
- Kushindwa kuwasikiliza wadau kupitia wawakilishi wake. Rejea kuna baadhi ya representative walitaka kwenda kumuona mh raisi.

Mimi nimuunga mkono mh Raisi kwenye hili, tunatatizo sasa watu kuacha kufanya kazi kuufasaha na badala yake hutaka kumfurahisha mkuu.

Utofauti wangu ni why Madam aendelee kuwa ofisini? ?? Utofauti wake na Irine uko wapi sababu yeye ndio boss wa Irine na anawajibika moja kwa moja kwa maamuzi ya Irine sababu kwa kufuata chaini of command every decision I trust was pre approved na waziri.

Mtazamo wangu tuu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ametumbuliwa kwa kushindwa kusimamia mifuko nafikiri unajua menejimenti za mifuko zilivyokuwa zinatumia pesa ovyo kwenye miradi ambayo haifai kama mradi wa Dege wa Kigamboni. Hivyo alisitahili kuachia ngazi ili wengine waongoze kwani yeye tu ndiyo anatakiwa kuongoza SSRA tangu 2012!!?

Miradi yote lzm serikali iwe n taarifa. Kwani mradi wa Daraja la kigamboni ni uamuzi wake Irene? Serikali imechukua 8 tril ni uamuzi wa Irene? Anaoubavu wa kukataa serikali isikope?
 
View attachment 980871Wanabodi
Jana nilibahatika kufustilia mkutano wa Rais Magufuli uliofuta kikokotoo kipya na kurejesha cha zamani.

Taarifa ya Waziri Mhagama ilieleza uamuzi wa kikokotoo kipya ni kufuatia actuarial valuation ya afya ya mifuko iliyobaini mifuko ina hali mbaya ambapo kikokotoo cha 1:580 ni kile kile kwa sheria zote mbili ila tofauti ni malipo ya mkupuo kuendelea kulipa 50% kungeiua mifuko ya PSPS na LAPF hivyo ikaamuliwa malipo ya mkupuo yawe 25% badala ya 50% halafu ile 75% iwe distributed evenly for the rest of your life ambapo monthly pension inakuwa kubwa zaidi

Watanzania ni watu wajinga na wa ajabu, kuwahi kutokea duniani, wanashangilia kikokotoo kile kile na hakuna tofauti ya formula ya kikokotoo bado ni ile ile hebu someni bandiko hili mshuhudie jinsi tulivyo wajinga



Swali langu ni bila kuingilia mamlaka ya rais ku hire and fire as he pleases, kama taarifa hiyo ya actuarial ni kweli, mifuko ina hali mbaya, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi kupelekea kutumbuliwa?.

Hii ni kufuatia kila anayetumbuliwa kuonekana ni jipu mbele ya jamii, kuna uwezekano baadhi wanaotumbuliwa sio majipu bali ni kondoo tuu wa kafara?.

Wataam wa masuala ya pensheni tufafanulieni, kama taarifa ya Waziri Mhagama imesema hali ya mifuko ni mbaya, kikokotoo kingeendelea mifuko ingekufa, sasa rais amekirudisha, jee mifuko hiyo italipa pensheni hizo nene kwa uwezo upi, tusije kujikuta kwa sasa tunashangilia tuu halafu baadae tunakuja kukaza mikanda kwa government bail out kwa hazina yetu?.

Ukimwangalia the way she looks, nimemkumbuka yule mama wa TIC aliyetumbuliwa, usikute... it was just the most opportune moment to strike

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?! - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums

P.
Katika thread zoooooote huwa nnajitahidi kuelewa uyaandikayo, ila hapa kaka yangu umebugi, labda ungefanya actual evaluation ya hii thread yako.

Walichokuwa wanafanya ni kuisaidia serikali na sio kuwasaidia wafanyakazi, pesa za penshen zilikuwa zinachotwa bila utaratibu halafu wameshindwa kuzilipa na wameshindwa kuwalipa wastaafu kwa wakati, sasa ili kuisevu serikali wakaamua kuwaminya wastaafu kwa kuwapunguzia kiwango cha mafao ya mkupuo kwa 50%.
 
Binafsi sioni kosa la Irene Isaka, lakini ndiyo hivyo tena...Dada huyu ni mchapa kazi wa ukweli na ameigeuza SSRA kuwa taasisi inayofanya kazi kwa weledi mkubwa utafikiri ni taasisi ya kimataifa...Kwangu mimi tatizo ni kuwa positions hizi huwindwa na watu wengi...majungu hayakosi...Lakini pia utendaji mbovu wa mifuko kama NSSF, PPF na hasa katika suala la uwekezaji nadhani ndiyo sababu ya watu wenye majungu..Binafsi sitashangaa kama akipata nafasi ya kimataifa..au pengine JPM anaweza kumpa kazi nyingine muhimu...Kwangu mimi kumuweka pembeni dada huyu ni kumpoteza mmoja wa wachapakazi wazuri ambao taifa hili limewahi kuwapata..
Utendaji gani mbovu wa mifuko ?kwani zamani Utendaji Ulikuwa vipi?
Unafananisha na mifuko ipi?

Nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utendaji gani mbovu wa mifuko ?kwani zamani Utendaji Ulikuwa vipi?
Unafananisha na mifuko ipi?

Nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeanza vizuri kujibu hoja ila umeharibu hapo mwishoni ..'nonsense'....learn how to be 'diplomatic' in your language...lugha inaweza kukuanika kuwa ni mtu wa aina gani...ni mtu wa shari??!! mwenye majivuno???!!! mwenye dharau???!!! siyo mvumilivu???!! hajui atendalo??!! asiye na heshima???!!!
 
Utendaji gani mbovu wa mifuko ?kwani zamani Utendaji Ulikuwa vipi?
Unafananisha na mifuko ipi?

Nonsense

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeanza vizuri kujibu hoja ila umeharibu hapo mwishoni ..'nonsense'....learn how to be 'diplomatic' in your language...lugha inaweza kukuanika kuwa ni mtu wa aina gani...ni mtu wa shari??!! mwenye majivuno???!!! mwenye dharau???!!! siyo mvumilivu???!! hajui atendalo??!! asiye na heshima???!!!
 
View attachment 980871Wanabodi
Jana nilibahatika kufustilia mkutano wa Rais Magufuli uliofuta kikokotoo kipya na kurejesha cha zamani.

Taarifa ya Waziri Mhagama ilieleza uamuzi wa kikokotoo kipya ni kufuatia actuarial valuation ya afya ya mifuko iliyobaini mifuko ina hali mbaya ambapo kikokotoo cha 1:580 ni kile kile kwa sheria zote mbili ila tofauti ni malipo ya mkupuo kuendelea kulipa 50% kungeiua mifuko ya PSPS na LAPF hivyo ikaamuliwa malipo ya mkupuo yawe 25% badala ya 50% halafu ile 75% iwe distributed evenly for the rest of your life ambapo monthly pension inakuwa kubwa zaidi

Watanzania ni watu wajinga na wa ajabu, kuwahi kutokea duniani, wanashangilia kikokotoo kile kile na hakuna tofauti ya formula ya kikokotoo bado ni ile ile hebu someni bandiko hili mshuhudie jinsi tulivyo wajinga



Swali langu ni bila kuingilia mamlaka ya rais ku hire and fire as he pleases, kama taarifa hiyo ya actuarial ni kweli, mifuko ina hali mbaya, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi kupelekea kutumbuliwa?.

Hii ni kufuatia kila anayetumbuliwa kuonekana ni jipu mbele ya jamii, kuna uwezekano baadhi wanaotumbuliwa sio majipu bali ni kondoo tuu wa kafara?.

Wataam wa masuala ya pensheni tufafanulieni, kama taarifa ya Waziri Mhagama imesema hali ya mifuko ni mbaya, kikokotoo kingeendelea mifuko ingekufa, sasa rais amekirudisha, jee mifuko hiyo italipa pensheni hizo nene kwa uwezo upi, tusije kujikuta kwa sasa tunashangilia tuu halafu baadae tunakuja kukaza mikanda kwa government bail out kwa hazina yetu?.

Ukimwangalia the way she looks, nimemkumbuka yule mama wa TIC aliyetumbuliwa, usikute... it was just the most opportune moment to strike

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?! - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums

P.


The moment Mr. President amehairisha matumizi ya kikokotoo au ameita maelezo ya Irene too academic, she should have resigned. Sio kusubiri kutumbuliwa.

If you are serving the company na kile unachokisimamamia au mlichosimamia na viongozi wako kinafail au kukataliwa- busara ni kukaa pembeni.

Wote tunajua kuwa NSSF na PPF tangu kuundwa kwake walitoa 25%, kelele hizi zilikuwa ni kwa ajili ya PSPF na LAPF tu?. Kwamba hao wengine niaje?. Kelele na malalamiko yalikuwa mengi as if pensionable Tanzanians wanafikia 10%?.
 
Umeanza vizuri kujibu hoja ila umeharibu hapo mwishoni ..'nonsense'....learn how to be 'diplomatic' in your language...lugha inaweza kukuanika kuwa ni mtu wa aina gani...ni mtu wa shari??!! mwenye majivuno???!!! mwenye dharau???!!! siyo mvumilivu???!! hajui atendalo??!! asiye na heshima???!!!
Asilimia 90 ya pesa za mifuko zimewekezwa kwenye Bond, TB na kidogo kwenye FD yaani Fixed deposit,

Anaposema wanawekeza hovyo lengo lake wasitawanye Portfolio

Huwezi weka mayai yote kwenye begi moja

Huko kwenye majumba wanafanya Diversification tu

Ni vigumu kumuelekeza Mtu mzima na mjinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huwa unasoma kweli au unasubiri watu waandike halafu ubishe

Unafahamu SSRA imeanzishwa lini?

Hii mifuko inadai serikali kwa deni la kurithi, Hivi Unadhani wale wazee wa zamani walichangia makato yao kwenye mifuko?

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku za mwisho wa mwaka hazijawahi kumuacha mtu salama. Next time Irene Isaka aache majivuno. Kusoma isiwe fimbo ya kunyanyasa watu.
Nashindwa kukupa pole dear. I bet you deserve it for being a bit arrogant. Have a 'prosperous' 2019. Jiunge kwenye 'arrogance management lab'
 
View attachment 980871Wanabodi
Jana nilibahatika kufustilia mkutano wa Rais Magufuli uliofuta kikokotoo kipya na kurejesha cha zamani.

Taarifa ya Waziri Mhagama ilieleza uamuzi wa kikokotoo kipya ni kufuatia actuarial valuation ya afya ya mifuko iliyobaini mifuko ina hali mbaya ambapo kikokotoo cha 1:580 ni kile kile kwa sheria zote mbili ila tofauti ni malipo ya mkupuo kuendelea kulipa 50% kungeiua mifuko ya PSPS na LAPF hivyo ikaamuliwa malipo ya mkupuo yawe 25% badala ya 50% halafu ile 75% iwe distributed evenly for the rest of your life ambapo monthly pension inakuwa kubwa zaidi

Watanzania ni watu wajinga na wa ajabu, kuwahi kutokea duniani, wanashangilia kikokotoo kile kile na hakuna tofauti ya formula ya kikokotoo bado ni ile ile hebu someni bandiko hili mshuhudie jinsi tulivyo wajinga



Swali langu ni bila kuingilia mamlaka ya rais ku hire and fire as he pleases, kama taarifa hiyo ya actuarial ni kweli, mifuko ina hali mbaya, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi kupelekea kutumbuliwa?.

Hii ni kufuatia kila anayetumbuliwa kuonekana ni jipu mbele ya jamii, kuna uwezekano baadhi wanaotumbuliwa sio majipu bali ni kondoo tuu wa kafara?.

Wataam wa masuala ya pensheni tufafanulieni, kama taarifa ya Waziri Mhagama imesema hali ya mifuko ni mbaya, kikokotoo kingeendelea mifuko ingekufa, sasa rais amekirudisha, jee mifuko hiyo italipa pensheni hizo nene kwa uwezo upi, tusije kujikuta kwa sasa tunashangilia tuu halafu baadae tunakuja kukaza mikanda kwa government bail out kwa hazina yetu?.

Ukimwangalia the way she looks, nimemkumbuka yule mama wa TIC aliyetumbuliwa, usikute... it was just the most opportune moment to strike

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?! - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums

P.
Pasko,
Usijifanye kutokujua kosa la "Dr" Irene.
Naiweka "Doctorate" yake katika mabano, maana ameshindwa kabisa kuutetea usomi.
Using facts and figures ameshindwa ku extrapolate resultant social sentiments ambazo ndio zimemuondoa kazini.

Hili ni onyo kwa technocrats serikalini.
Tell it as it is, full stop.
"Dr" Irene akasema mara ooh, wafanyakazi mmekatwa na kuchangia 20%, sisi tunawapatia 25% ikiwa ziada ya 5%!
Stupid crap!

Hata basis ya percentages hajui, na usomi wake ukapeperuka.

Watu kama kina Dr Mpango siku hizi wamestuka, wanaeleza issues kama zilivyo, na effects zake kwa jamii.
Wamebaki wasomi fake kama "Dr" Irene, hata kudadavua issues hawawezi, achilia mbali ku forecast resultant effects.

She had to go.
 
Huyu Mama Ni Mbuzi wa kafara
Ni Kama Dr Ibrahim Msabaha Kwenye sakata la Richmond 2007

Mswaada mpaka Kuwa Sheria unapita Kwenye Mikono, Taaasisi Na Mamlaka kadhaa

Kama Muswaada ule Mpaka Rais alisaini maana yake Kama Ni sifa ingesifiwa Serikal sasa iweje Kama Ni kosa alaumiwe Mtu mmoja personally?
Rais ana Mamlaka ya kutengua Muda wowote akijiskia lakin Kama katenguliwa Kwa kosa lile atakuwa kaonewa Sana

View attachment 980871Wanabodi
Jana nilibahatika kufustilia mkutano wa Rais Magufuli uliofuta kikokotoo kipya na kurejesha cha zamani.

Taarifa ya Waziri Mhagama ilieleza uamuzi wa kikokotoo kipya ni kufuatia actuarial valuation ya afya ya mifuko iliyobaini mifuko ina hali mbaya ambapo kikokotoo cha 1:580 ni kile kile kwa sheria zote mbili ila tofauti ni malipo ya mkupuo kuendelea kulipa 50% kungeiua mifuko ya PSPS na LAPF hivyo ikaamuliwa malipo ya mkupuo yawe 25% badala ya 50% halafu ile 75% iwe distributed evenly for the rest of your life ambapo monthly pension inakuwa kubwa zaidi

Watanzania ni watu wajinga na wa ajabu, kuwahi kutokea duniani, wanashangilia kikokotoo kile kile na hakuna tofauti ya formula ya kikokotoo bado ni ile ile hebu someni bandiko hili mshuhudie jinsi tulivyo wajinga



Swali langu ni bila kuingilia mamlaka ya rais ku hire and fire as he pleases, kama taarifa hiyo ya actuarial ni kweli, mifuko ina hali mbaya, kosa la Irene Isaka ni lipi hadi kupelekea kutumbuliwa?.

Hii ni kufuatia kila anayetumbuliwa kuonekana ni jipu mbele ya jamii, kuna uwezekano baadhi wanaotumbuliwa sio majipu bali ni kondoo tuu wa kafara?.

Wataam wa masuala ya pensheni tufafanulieni, kama taarifa ya Waziri Mhagama imesema hali ya mifuko ni mbaya, kikokotoo kingeendelea mifuko ingekufa, sasa rais amekirudisha, jee mifuko hiyo italipa pensheni hizo nene kwa uwezo upi, tusije kujikuta kwa sasa tunashangilia tuu halafu baadae tunakuja kukaza mikanda kwa government bail out kwa hazina yetu?.

Ukimwangalia the way she looks, nimemkumbuka yule mama wa TIC aliyetumbuliwa, usikute... it was just the most opportune moment to strike

Utumbuaji: Tuache Siasa Kwenye Professionalism, Sio Kila Mtumbuliwa ni Jipu!. - JamiiForums

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The Right Time, And Doing It Right, Or ?! - JamiiForums

Hii Tumbua Tumbua ya Rais Magufuli, Hivi Kikwete Anajisikiaje?!. Anajisikia Sifa Au Anajuta?!. - JamiiForums

P.

Watanzania hususan Pascal Mayalla acha tabia ya unafiki,uzandiki na ulofa.Bi.Irene hajatumbuliwa na Mh.Rais kwa sababu ya kikokotoo kipya.
Kosa kubwa la Bi. Irene Isaka ni udhaifu wa muda mrefu wa usimamizi wa uwekezaji wa mifuko hii hususan PSPF na NSSF katika miradi mingi ambayo haikuwa na TIJA kwa wanachama wa mifuko husika.
Bi.Irene alishindwa hata kushauri mamlaka za juu yake kama WAZIRI ,nk kuhusiana na uwekezaji wa hasara uliokuwa unafanywa na mifuko ambayo kimsingi yeye alikuwa MSIMAMIZI wake......Mayalla kwa uelewa wako mdogo na mapenzi yako ya dhati kwa Bi.Irene Isaka unamtetea bibiye kwa hoja dhaifu kabisa tena za kijinga..Bi Irene ndiye ameifikisha hii mifuko ICU kwa kutokuwa makini katika kutekeleza majukumu yake ya msingi.
Pascal Mayalla Bi Irene Isaka alikuwa MKURUGENZI WA SSRA ambaye ni msimamizi wa MIFUKO YA JAMII mifuko imefilisika kwa uzembe wake ulitaka Rais Magufuli amzawadie?
Kama Pascal ulikuwa "mapenzi" ya kweli kwa Bi Irene ungemshauri asingeishia kuuza sura kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom