Kama kawaida wasio na usingizi karibuni

Kama kawaida wasio na usingizi karibuni

Mkuu Oyaa mshikaji kumbe ana mguu wa kuku (pisto) anashadidia kupiga tairi la patrol ! litakapoondoka... hatuelewani mie nataka kujua ndani kuna taathira zozote?
 
kaka hapo kuna kila dalili umeibiwa,huwez angalia mlango kwa mbali kama umefunga?
Ninahakika gati la mbele limefungwa lakini ngoma ipo ndani taharuki zinaashiria kuwa kuna timu mbili ya nje inacover ..Nawasubiri hao niliowaita ilituwavamie !
 
Mkuu Oyaa mshikaji kumbe ana mguu wa kuku (pisto) anashadidia kupiga tairi la patrol ! litakapoondoka... hatuelewani mie nataka kujua ndani kuna taathira zozote?

akifanya hvyo watawashambulia wawaue then kesho watasema nyie majambazi,mkataze asifanye hvyo,mark plate number ya gari lao
 
nimeanza kukuelewa mkuu ok story ziendelee mpaka mtakapolala.
Frendi Money St. Wanikumbuka last week tulikuruzana ktk uzi flani? usijali sana leo nahitaji ushauri wako.... if Ok just soma juu hapo upate ushuhuda vipi kuni savu usiku huu!!!
 
Back
Top Bottom