Kama kawaida wasio na usingizi karibuni

Kama kawaida wasio na usingizi karibuni

ilisha juniour

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
714
Reaction score
219
Tubadirishane mawazo juu ya stress zinazotukabili,tupeane mawazo jinsi ya kuzikabili,waweza PM pia kama ni personal: Angalizo mimi ni "me"
 
Weekend,watu wamechoka na wanatimiza wajibu wa unyumba saa hz
 
Stress free zone ni humu jf!!hahaha nawaza wazazi wangu wananiamisha mji etii kisa kazi,afu huu mji nnao ishi ndo mpedhi yupo sasa nahs kuibiwa hvii nkiondoka tu,yaan nawazA mpAka bhasii ni changamoto kwakwelii
 
Nawaza kurudi likizo Tz, nime miss watoto wangi, kulewa, club, vumbi, ugali na kadhalika.
dah.., hizikazi za mbali na home bhana! kweli pesa ipo lakini hakuna raha zile za ki-home zaidi
 
kwangu mimi naamini siasa ni utumwa unaweza ukawa mkubwa kesho ukawa mdogo na huna maana mbele ya jamii,ila nawaonea huruma Watanzani hata wakatae wanaitaji mkombozi hata kama chizi
 
Tuko pamoja mwana mi hapa nagaragara tu kwa sababu ya hiyo.najiuliza kama Goba kuna joto je huko Sinza,kwa Tumbo na Keko Inakuaje poleni sana ndugu zangu
 
Nawaza kurudi likizo Tz, nime miss watoto wangi, kulewa, club, vumbi, ugali na kadhalika.
dah.., hizikazi za mbali na home bhana! kweli pesa ipo lakini hakuna raha zile za ki-home zaidi
Yaani na mimi ninamiss mabaamed
 
Stress free zone ni humu jf!!hahaha nawaza wazazi wangu wananiamisha mji etii kisa kazi,afu huu mji nnao ishi ndo mpedhi yupo sasa nahs kuibiwa hvii nkiondoka tu,yaan nawazA mpAka bhasii ni changamoto kwakwelii

mkabidh mungu,atakulindia kipenzi chako
 
Nawaza kurudi likizo Tz, nime miss watoto wangi, kulewa, club, vumbi, ugali na kadhalika.
dah.., hizikazi za mbali na home bhana! kweli pesa ipo lakini hakuna raha zile za ki-home zaidi

shukuru una kazi na kipato
 
Tuko pamoja mwana mi hapa nagaragara tu kwa sababu ya hiyo.najiuliza kama Goba kuna joto je huko Sinza,kwa Tumbo na Keko Inakuaje poleni sana ndugu zangu

Leo kuna joto balaa huku tabata ndo kabsaa
 
Wandugu mpo hai.... Aaa samahani mpo macho !! Upande wangu huu imekaribia saa tisa usiku nimerudi kutoka safari ! naona patrol ya polisi inapiga doria nyumbani kwangu na umeme umezimwa wakati niliacha light ON ....!! Looh name nimezima taa za gari nimeliegesha pembani kimya... Je, nifanye nini? au nipige repoti polisi? niwahinii wadugu...
 
Jamani kumbe ndo mana wazee wa apa dar awapendi kuitwa wazee da! Ni vijana bwana wanazeeka na konyagi wanasema etti inaongeza nguvu zza kiume ukiwaamkia wanasema husinizeeshe kweli ebu fanya uchunguzi na wewe uone
 
Wandugu mpo hai.... Aaa samahani mpo macho !! Upande wangu huu imekaribia saa tisa usiku nimerudi kutoka safari ! naona patrol ya polisi inapiga doria nyumbani kwangu na umeme umezimwa wakati niliacha light ON ....!! Looh name nimezima taa za gari nimeliegesha pembani kimya... Je, nifanye nini? au nipige repoti polisi? niwahinii wadugu...

hapo inawezekana umeibiwa,jaribu kuripoti kwanza kabla hujaingia
 
hapo inawezekana umeibiwa,jaribu kuripoti kwanza kabla hujaingia
Sasa nimeripoti polisi hadi sasa hawafika ..Nami nimepiga picha ya Doria (patrol) nimepata mshikaji kajanisaidia kimyakimya..tunarikodi taharuki zote! naona kama mlinzi kapewa likizo usiku huu.... Nifanyeji mkuu?
 
Sasa nimeripoti polisi hadi sasa hawafika ..Nami nimepiga picha ya Doria (patrol) nimepata mshikaji kajanisaidia kimyakimya..tunarikodi taharuki zote! naona kama mlinzi kapewa likizo usiku huu.... Nifanyeji mkuu?

kaka hapo kuna kila dalili umeibiwa,huwez angalia mlango kwa mbali kama umefunga?
 
Back
Top Bottom