Wild man from the Hills
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,001
- 5,815
Katiba ndio iliwafanya mumuuzie Lowasa chama chenu?!
mimi sina chama bibie ni mzalendo tu kutoka kolomije
Katiba ndio iliwafanya mumuuzie Lowasa chama chenu?!
siasa
Ndugu, kanisa halijasema chochote wala halijaingilia kazi ya Polis. Kwa nini unatudhihaki hivyo? Kwa nini usipambane na mleta mada? Huwezi kujua ni jinsi unaumiza watu. Please.RC sio kanisa ni saccos ndio maana wanaupuuzi mwingi,wanachanganya dini na siasa
USSR
mimi sina chama bibie ni mzalendo tu kutoka kolomije
Kwa hiyo ni mambo ya imani za jadi za kirumi?ni kikundi fulani cha watu wa itali kilichoamua kuanzisha dhehebu lao la Waromani wote RC
O.k. basi waambie rafiki zetu chadema ukweli kwamba wasimtafute mchawi maana walijivuruga wenyewe
Mbona marehemu wanaombewa? Kwa Nini waombaji wasiambiwe wakaombewe kwenye makaburi yao.Mbowe yupo Ukonga, waende huko wakamuombee. Hili la kujikusanya kila Jumapili kwenda makanisani na hayo majezi yao eti wanakwenda kumuombea Mbowe sidhani kama ni sahihi, mahali pale si mahali pa siasa na kuna watu wa itikadi tofauti tofauti wao wasiwalazimishe watu wengine kuwaunga mkono bali waiachie Mahakama itaamua
Nimeshangaa sana sana, hana haja ya kupambana na Mimi pia Bali content. Jf sio kwa ajili ya mapambano ya personalitiesNdugu, kanisa halijasema chochote wala halijaingilia kazi ya Polis. Kwa nini unatudhihaki hivyo? Kwa nini usipambane na mleta mada? Huwezi kujua ni jinsi unaumiza watu. Please.
Sasa hawa sio Wakristo. Kwa nini wanajiita kanisa?
Verysad nimeumia sana.Nimeshangaa sana sana, hana haja ya kupambana na Mimi pia Bali content. Jf sio kwa ajili ya mapambano ya personalities
Hapana. Je wewe masalia?Una familia kweli wewe?
TeteteHapana. Je wewe masalia?
Eewaa!!!,hapo SasaUovyo wake upo katika lipi hebu tusaidie tuweze kufunguka ndugu,manake naona wana mavyuo,mahospitali,vituo vya kulelea watoto wasio na wazazi n.k
Inawezekana una unachokijua zaidi ya hivyo,tufungue ndugu yetu mpendwa.
Achana na bangi mbichi wenzako wanavutaga iliyokaushwa.RC sio kanisa ni saccos ndio maana wanaupuuzi mwingi,wanachanganya dini na siasa
USSR
Aliyeona "from bottom to grassroots", agonge like. AntiChrist prophet at his best 666!.Sasa mnataka hao RC wawafanyie nn? wapingane na serkali wanazozisimamisha wao kwa maslahi yao kisa kukutetea wew mpinzani uchwara?? huo muda sahau na haitotokea Rc kwenda kinyume na dola wala dola kwenda kinyume na RC nyie upinzan mnapoongelea Rc muwe na heshima ile sio ccm wala cdm ile ni ngome kongwe ambayo haiendeshwi kwa mihemko, zaid ya intelligence iliyotulia ambayo inapokea order from bottom level up to grassroot level, wala hawakurupuki wale, mkae kwa kutulia.hawana utetez kwenu.....afazal wangekuwa wakina lutheran mngeweza kuwashawish na sio Rc mtachemka pumbv zenu
Wewe ni bweha kweli. Kila mtu anayetoa mawazo nje ya upumbavu wako ni CHADEMA? Inaonekana chanjo imekufanya ujue mambo mawili tu ccm na chadema, Acha ku attack personalities za watu, weka hoja. Pumbvu.Katiba ndio iliwafanya mumuuzie Lowasa chama chenu?!
Ni sawa kabisa. nawapongeza Jeshi la Polisi Tanzania kwa hatua hiyo.
Yaani mnataka mfanye uhalifu halafu mkimbilie Kanisani na Polisi wawatizame tu? Msituchafulie kanisa, Msituchonganishe na Jeshi la Polisi Tanzania.
Kama ni muhalifu utakamatwa popote utakapokuwepo.