Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,288
- 16,448
Dah! Na bahati mbaya ndo nnfanya kazi benki basi, tena huu mwaka qa 10 sasa.We ndo choka mbaya kabisaaaa.
kama 10,005 = shs elfu kumi, na tano tu. je, 15,000 itakuwaje?
Maskini weeeeeeee
Dah! Na bahati mbaya ndo nnfanya kazi benki basi, tena huu mwaka qa 10 sasa.We ndo choka mbaya kabisaaaa.
kama 10,005 = shs elfu kumi, na tano tu. je, 15,000 itakuwaje?
SIKU HZ UMEKUA MCHOKOZI SANA!iAdisinzuri kakufundisha nani 2ambiebac?
hamna k2 niwie radhi...hakuna m2 ambaye hamna k2 kila m2 ana k2,jusi guluguja we..
"Shilingi kumi elfu na tano tu"
Mi mpaka nizione kwanza hzo pesa.Ndo ntajua Pengne feki
Samahani mtu wangu