Kama ingekuwa wewe unge andikaje?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,835
Mkulima mmoja wa pamba Maswa shinyanga, alipouza pamba yake alipata tsh 10,005.
Basi alizichukua pesa zote na kuzipeleka benki.
Akamkabidhi tella wa benki. ilikuwa hivi:
Tella akapokea pesa na kuandika lisiti kwa maneno
NIMEPOKEA SHILINGI ELFU KUMI NA TANO.
Kama wewe unge andikaje?
 
Mkulima mmoja wa pamba Maswa shinyanga, alipouza pamba yake alipata tsh 10,005.
Basi alizichukua pesa zote na kuzipeleka benki.
Akamkabidhi tella wa benki. ilikuwa hivi:
Tella akapokea pesa na kuandika lisiti kwa maneno
NIMEPOKEA SHILINGI ELFU KUMI NA TANO.
Kama wewe unge andikaje?

Adisinzuri kakufundisha nani 2ambiebac?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom