Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,835
Mkulima mmoja wa pamba Maswa shinyanga, alipouza pamba yake alipata tsh 10,005.
Basi alizichukua pesa zote na kuzipeleka benki.
Akamkabidhi tella wa benki. ilikuwa hivi:
Tella akapokea pesa na kuandika lisiti kwa maneno
NIMEPOKEA SHILINGI ELFU KUMI NA TANO.
Kama wewe unge andikaje?
Basi alizichukua pesa zote na kuzipeleka benki.
Akamkabidhi tella wa benki. ilikuwa hivi:
Tella akapokea pesa na kuandika lisiti kwa maneno
NIMEPOKEA SHILINGI ELFU KUMI NA TANO.
Kama wewe unge andikaje?