Kama inakuhusu Naomba ujitokeze

Kama inakuhusu Naomba ujitokeze

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,395
Reaction score
104,797
Habari ya usiku huu wadau...!!
Naomba niende kwenye mada husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kuna mtu anaitwa Dickson Melack Balinzi, amenitumia pesa kimakosa.
Naomba kama unamfahamu muhusika mjulishe na akuje pm kwa maelezo zaidi.
 
Haikuwa na haja uje huku kutuambia kuwa wewe ni mwema, ungemrudishia tu na siku ikawa imeenda.
 
Zirudishe kwenye mtandao au usizitoe,ukimlipa kwa njia nyingne watakuja kukata.be careful,hakatwi mtu hapa
 
Siyo kweli. Haliwezi kuja jina bila namba! Vilevile kwanini usipige 100 huduma kwa wateja kwa msada zaid?
we jamaa unatumia mtandao gani?
mbona unabishabisha tu? labda mpesa ya familia yako ndio yenye namba,,
halafu wew unasema eti apge namba 100,, wew unawaamini hawa customer care?
pesa badala ya kumrudishia itapigwa vizuri sana
 
Back
Top Bottom