fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,319
- 2,721
Mahaba kama hayo utayapata TANGA
Ongezea hivyo vingine ufurahie ndoaHiyo sehemu niliyo itaja ndio ya kuwa nayo seriously kwa Mwanamke mengine ni ya ziada
Uko sahihi, ndio maana kumpata mwenye sifa nilizozitaja, unatakiwa upambane kweliKama una mke anakufanyia hivo, na unao uhakika wa moyo wake kuwa kinachomwongoza ni upende peke yake neda utoe sadaka za kutosha kwa Mungu wako. Wanawake wengi kwa sasa ni actors tu, pretenders kwa kiasi kikubwa.
Mke mwenye upendo huwezi kumwamini kwa hayo. Had I to marry again, nina vigezo tofauti na thinking tofauti na wewe. Women are now material oriented than love based to their husbands.
Wanawake wengi wakitaka kuolewa anaanza kwanza kufikiria what you own, your future success etc than putting love installed in her to the man.
Bad enough, even parents seek to know economic and educational profile of the guy would wish marry their daughter.
Zamani ilikuwa hivyo, kwa sasa sehemu kubwa ni utapeliMahaba kama hayo utayapata TANGA
Yapo mkuumihemko hii
Inaonekana mchepuko kakukamata kweli kweli au ndoa changa
Mimi Nina mwanamke wangu.Nikweli broo hapo hauja kosea
Dah.....oviaz.... lazima akutende hivyo....analipa 🤣🤣🤣🤣🤣🤭Kumjali kwa mahitaji yake yote
Kwenye ile movie ya kihindi ndo niliona hii mamboMaisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
- Mkeo anakupokea kwa furaha
- Anakuvua koti
- Anakuvua viatu na soksi
- Anakuvua nguo zote
- Anaenda kukuogesha
- Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
- Anakupatia chakula ukipendacho
- Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
- Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
Akili yako bado haijakomaaOa mwanamke, usioe wa kusindikiza maisha
Haya utayapata kwa mchepuko tu, siyo kwa mwanamke ambaye anashinda anachakarika ili msaidiane kuyamudu maisha, anapambana na watoto ili uwakute wako wasafi nawewe upate hamu ya kuwabeba na kuwa hug wanao, anawaza vikoba ambavyo wewe mume ulimuomba akukopee pesa ili uweke dili zako vzuri, ambaye anawaza jinsi last week alikuta meseji za wanawake zako kwenye simu mkipongezana mlivyoenjoy game, ambaye anawaza alikwambia kuna issue nyumban kwao mama au baba anaumwa na haujatuma hata mia wala kuwapikia kuwapa pole na kuumwa!! Wanaume mapenzi ni ya pande mbili, ukiyataka mazuri mpe kwanza mwenza wako mazuri aisee mbona hyo ya kubebwa kuogeshwa itakuwa automatically. Kama wewe unajijua una maudhi mwngi sahau mke akuogeshe na kukulisha zaidi atakupokea kawaida, ataandaa maji bafuni kawaida, atakupakulia chakula na kukumiminia kinywaji full stop.Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
- Mkeo anakupokea kwa furaha
- Anakuvua koti
- Anakuvua viatu na soksi
- Anakuvua nguo zote
- Anaenda kukuogesha
- Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
- Anakupatia chakula ukipendacho
- Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
- Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
Muna siku ngapi kwenye ndoa?Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
- Mkeo anakupokea kwa furaha
- Anakuvua koti
- Anakuvua viatu na soksi
- Anakuvua nguo zote
- Anaenda kukuogesha
- Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
- Anakupatia chakula ukipendacho
- Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
- Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
HahahaMaisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
- Mkeo anakupokea kwa furaha
- Anakuvua koti
- Anakuvua viatu na soksi
- Anakuvua nguo zote
- Anaenda kukuogesha
- Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
- Anakupatia chakula ukipendacho
- Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
- Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
Katika dunia hii ya mchakamchaka bado unataka mkeo akufanyie hayo yote labda uoe mtanga, umwache nyumbani akisugua tako kwenye mkeka akikusubiria akufanyie hayo na umto..mb..e tu.Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
- Mkeo anakupokea kwa furaha
- Anakuvua koti
- Anakuvua viatu na soksi
- Anakuvua nguo zote
- Anaenda kukuogesha
- Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
- Anakupatia chakula ukipendacho
- Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
- Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
Yes, upendo una sura nyongi na matendo tofauti kutegemea mazingira na level zenu za maishaTatizo kuna wanawake Bro haya Mambo hawajui still unakuta anakupenda kwelikweli ila tatizo mazingira aliyokulia haelewi kama kunakufanya hivo