Kama huyapati haya, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,270
40,080
Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
  • Mkeo anakupokea kwa furaha
  • Anakuvua koti
  • Anakuvua viatu na soksi
  • Anakuvua nguo zote
  • Anaenda kukuogesha
  • Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
  • Anakupatia chakula ukipendacho
  • Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
  • Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
 
😂😂😂😂😂😂

Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
  • Mkeo anakupokea kwa furaha
  • Anakuvua koti
  • Anakuvua viatu na soksi
  • Anakuvua nguo zote
  • Anaenda kukuogesha
  • Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
  • Anakupatia chakula ukipendacho
  • Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
  • Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k
Kama huyapati haya wakuu, jua hapo ulipo hujaoa; bali umetafuta mtu wa kusindikiza naye maisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom