Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,080
Maisha ya ndoa raha sana, mwanaume ukitoka kazini, unafanyiwa haya:-
- Mkeo anakupokea kwa furaha
- Anakuvua koti
- Anakuvua viatu na soksi
- Anakuvua nguo zote
- Anaenda kukuogesha
- Anakuandalia chakula na juisi au kinywaji chenye mfanano huo
- Anakupatia chakula ukipendacho
- Anakuliwaza kwa stress ulizozipata kazini
- Anakudekeza kama mtoto mdogo n.k