Kama huna mbavu usisome hapa

Kama huna mbavu usisome hapa

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Unaamka asubuhi huku ukiwa na heng over ya jana usiku:

Unapasha maji kweny jiko la gesi ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na ya baridi unajimwagia, unaungua unaanza kupiga kelele bafuni. Daaadeki

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita anakushushia mzigo wake,unarusha jiwe ili umpige; unamkosa, wakati huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso.

Unakimbilia ndani haraka ili asikuone;
Unajisahau kumbe ulifunga mlango wa chumbani kwako, kwa speed uliokuwa nayo breki inafeli unajipigiza mlangoni unazimia;

Baada ya muda unazinduka sasa.....

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha.

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwizi, unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia.

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi:::: Tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima.

Waigizaji wenzie na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospitali(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengeeeee unakunywa drip ukijua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unapiga kelele.

Wanakuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala, baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mbadilishane kitanda,baada ya kuona chake tofauti na chako, kiroho safi tu,anakubali!!! kitanda kipya unapanda unajifunika shuka gubi gubi unalala. Ohhhhhh

Kumbe sehem alipo lala huyo jama alitakiwa akafanyiwe oparesheni ya kichwa; mwisho wa siku unapelekwa wewe unaaenda kufanyiwa oparesheni wakati hata hauumwi(unapelekwa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya ganzi).

Baada ya upasuaji madokta ndo wanashtuka kuwa wamemix watu,wanakushona na kukurudisha wodini.

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena.



Acha tu niishie hapa.
 

 
Umeme wa hasi na chanya nao unapiga shock,umeme wa AC tu ndo unapiga na hauna hasi na chanya kwakuwa unazunguka unaweka wata vyovyote mradi circuit itimie
 
Umeme wa hasi na chanya nao unapiga shock,umeme wa AC tu ndo unapiga na hauna hasi na chanya kwakuwa unazunguka unaweka wata vyovyote mradi circuit itimie

Mmezoea tu kukosoa mpaka hamjui vitu vingine havina sababu ya kukosolewa
 
Unawasha TV unakuta mkeo mliozaa watoto watatu anaombewa na mzee wa kupuliza mtungi wa gesi apate mume 🔥
 
Unaamka asubuhi huku ukiwa na heng over ya jana usiku:

Unapasha maji kweny jiko la gesi ili ukaoge,unayapeleka bafuni,unasahau kuyachanganya na ya baridi unajimwagia, unaungua unaanza kupiga kelele bafuni. Daaadeki

Unatoka nje kwa hasira huku ukiwa na maumivu
Ile unatoka nje ndege anapita anakushushia mzigo wake,unarusha jiwe ili umpige; unamkosa, wakati huo baba mwenye nyumba ndio anafika anakutanalo la uso.

Unakimbilia ndani haraka ili asikuone;
Unajisahau kumbe ulifunga mlango wa chumbani kwako, kwa speed uliokuwa nayo breki inafeli unajipigiza mlangoni unazimia;

Baada ya muda unazinduka sasa.....

unaingia ndani unawasha feni haiwaki unataka kufanya utundu wako ili iwake unachanganya waya za hasi na chanya unapigwa shot unazimia tena😂😂

Unazinduka baada ya masaa kadhaa huku ukiwa una njaa ya kutosha.

Unatoka nje mara unaona watu wanakimbia huku wakisema "mwizi" mwizi" mara unamuona uyo mwizi, unaokota jiwe unampiga kwa hasira uyo mwizi anaanguka anazimia.

Mara watu wanashika kichwa,,kumbe ulio mpiga sio mwizi watu walikuwa wana shuti muvi:::: Tangazo haukulisikia kwan wakat wanatangza ulikuwa umezima.

Waigizaji wenzie na raia wengine wanakuangushia kipondo(wanakupiga)

Unazima unajikuta upo hospitali(raia wema walikusaidia)

Unaamka na wengeeeee unakunywa drip ukijua ni maji ya kandoro,,tumbo linaanza kuuma unapiga kelele.

Wanakuja manesi unapatiwa huduma ya kwanza then unalala, baada ya dakika chache unaamka mgongo unakuuma unamuomba mgonjwa mwenzio mbadilishane kitanda,baada ya kuona chake tofauti na chako, kiroho safi tu,anakubali!!! kitanda kipya unapanda unajifunika shuka gubi gubi unalala. Ohhhhhh

Kumbe sehem alipo lala huyo jama alitakiwa akafanyiwe oparesheni ya kichwa; mwisho wa siku unapelekwa wewe unaaenda kufanyiwa oparesheni wakati hata hauumwi(unapelekwa ukiwa umelala na unachomwa sindano ya ganzi).

Baada ya upasuaji madokta ndo wanashtuka kuwa wamemix watu,wanakushona na kukurudisha wodini.

Unaamka unaona kichwa kizito unakipiga piga,,unapiga sehem ya mshono unapiga kelele maumivu makali unazimia tena.



Acha tu niishie hapa.
Haichekeshi ila inaonyesha wewe unaweza kuwa na matatizo ya akili.
 
Hongera imekaa poa
Endelea kuleta vingine then upande kwenye stand up comedy au ufungue akaunti you tube tutakufollow upate kipato maisha yaende
 
Usije ukajaribu kuwa mchekeshaji (comedian). You will be the most boring comedian ever!
Kweli kabisa. Na movie nyingi za vichekesho za Tanzania zinakuwa na maudhui kama haya. Watu wana-force matukio mpaka mtazamaji unakasirika badala ya kucheka.
 

Bangi sio nzuri
 
Back
Top Bottom