Kama huna imani na hakimu mahakama ya mwanzo, he unaruhusiwa kuhamisha kesi kwenda mahakama ya wilaya

Ziltan

JF-Expert Member
Aug 20, 2011
2,649
6,832
Naomba kueleweshwa ,
Je unaweza kwenda wapi kulalamika , ili kesi ihamishwe toka mahakama ya mwanzo kabla ya hukumu,
Karibuni.
 
Naomba kueleweshwa ,
Je unaweza kwenda wapi kulalamika , ili kesi ihamishwe toka mahakama ya mwanzo kabla ya hukumu,
Karibuni.
Mweleze tu kuwa wewe ni Kada wa CCM na kwamba una connection huko juu. Watakuuzia haki Yako Wala usijali, pole saana I can feel your pain
 
Mweleze tu kuwa wewe ni Kada wa CCM na kwamba una connection huko juu. Watakuuzia haki Yako Wala usijali, pole saana I can feel your pain
Hapana , ni jamaangu ana kesi,
Ni fundi computer, mteja alileta computer lakini huku na huku mteja kafika kituo cha polisi,

Jamaa kuitwa hakuchukua muda kafikishwa mahakamani na kupigwa ndani siku 3,
Ingawa jamaa ana zaid ya miaka 15 kwenye kazi yake hapohapo na hajawah fika polisi kwa kesi yeyote,

Sasa kama miezi 6 hivi nyuma alikuwa na msala uliopelekea kuwa na mahusiano mabaya na maaskari hadi hakimu.
Yaan wale wale ambao kajikuta yupo mikonon mwao tena.

Ndio hivyo sasa hana imani na hakimu.
 
Hapana , ni jamaangu ana kesi,
Ni fundi computer, mteja alileta computer lakini huku na huku mteja kafika kituo cha polisi,

Jamaa kuitwa hakuchukua muda kafikishwa mahakamani na kupigwa ndani siku 3,
Ingawa jamaa ana zaid ya miaka 15 kwenye kazi yake hapohapo na hajawah fika polisi kwa kesi yeyote,

Sasa kama miezi 6 hivi nyuma alikuwa na msala uliopelekea kuwa na mahusiano mabaya na maaskari hadi hakimu.
Yaan wale wale ambao kajikuta yupo mikonon mwao tena.

Ndio hivyo sasa hana imani na hakimu.
Mwongozo ndio huo hapo juu, tafuta Wakili atakayewasaidia kuandika chamber application kwa bei nafuu kuipeleka mahakama ya wilaya.

Na kuna mawakili wa mwendo kasi wala hawajui hata hiyo chamber application ni nini.
 
Mahakimu huwa wanakataa!
Imenitokea hii nilikuwa na kesi ya mchongo na polisi nikaomba hamisho wakakataa kwamba sababu haina mashiko.
 
Hapana , ni jamaangu ana kesi,
Ni fundi computer, mteja alileta computer lakini huku na huku mteja kafika kituo cha polisi,

Jamaa kuitwa hakuchukua muda kafikishwa mahakamani na kupigwa ndani siku 3,
Ingawa jamaa ana zaid ya miaka 15 kwenye kazi yake hapohapo na hajawah fika polisi kwa kesi yeyote,

Sasa kama miezi 6 hivi nyuma alikuwa na msala uliopelekea kuwa na mahusiano mabaya na maaskari hadi hakimu.
Yaan wale wale ambao kajikuta yupo mikonon mwao tena.

Ndio hivyo sasa hana imani na hakimu.
Ni suala la jurisdiction.
Hiyo kesi inakidhi matakwa ya kusikilizwa wilayani?
 
Hapana , ni jamaangu ana kesi,
Ni fundi computer, mteja alileta computer lakini huku na huku mteja kafika kituo cha polisi,

Jamaa kuitwa hakuchukua muda kafikishwa mahakamani na kupigwa ndani siku 3,
Ingawa jamaa ana zaid ya miaka 15 kwenye kazi yake hapohapo na hajawah fika polisi kwa kesi yeyote,

Sasa kama miezi 6 hivi nyuma alikuwa na msala uliopelekea kuwa na mahusiano mabaya na maaskari hadi hakimu.
Yaan wale wale ambao kajikuta yupo mikonon mwao tena.

Ndio hivyo sasa hana imani na hakimu.
Mwongozo ndio huo hapo juu, tafuta Wakili atakayewasaidia kuandika chamber application kwa bei nafuu kuipeleka mahakama ya wilaya.

Na kuna mawakili wa mwendo kasi wala hawajui hata hiyo chamber application ni nini.
 
Wakili anafile chamber application mahakama ya wilaya, order inatoka kesi ihamishiwe mahakama ya wilaya.
Hiyo application unaomba Nini? Kwa mujibu wa Sheria Gani?
Na je unajua kuna utaratibu wa move mahakama ili hakimu ajitoe katika kesi na apangiwe mwingine?
 
Hiyo application unaomba Nini? Kwa mujibu wa Sheria Gani?
Na je unajua kuna utaratibu wa move mahakama ili hakimu ajitoe katika kesi na apangiwe mwingine?
Elewesha mkuu!
 
Hiyo application unaomba Nini? Kwa mujibu wa Sheria Gani?
Na je unajua kuna utaratibu wa move mahakama ili hakimu ajitoe katika kesi na apangiwe mwingine?
Aliyekwambia anataka hakimu ajitowe nani?
Mitihani ya Law school umetufumbuwa mengi sana.
 
Swali juu ya swali!!
Kwa jinsi ulivyouliza, inabidi mtu ausome uzi wote akuelewe. Au akuulize angalau swali moja apate muongozo.
Anyways jibu ni ndiyo kwa huyo fundi computer. Lakini in general, jibu litategemea na aina ya kesi na jurisdiction ya mahakama.
Kama kosa alilosomewa linaweza kumfumga zaidi ya mwaka, au kinaweza kumpa adhabu ya viboko, basi anaweza kuomba kuhamisha kesi kwenda mahakama ya wilaya kabla ya kujibu kesi.
 
Kwa jinsi ulivyouliza, inabidi mtu ausome uzi wote akuelewe. Au akuulize angalau swali moja apate muongozo.
Anyways jibu ni ndiyo kwa huyo fundi computer. Lakini in general, jibu litategemea na aina ya kesi na jurisdiction ya mahakama.
Kama kosa alilosomewa linaweza kumfumga zaidi ya mwaka, au kinaweza kumpa adhabu ya viboko, basi anaweza kuomba kuhamisha kesi kwenda mahakama ya wilaya kabla ya kujibu kesi.
Sawa Mkuu,
ipo hivi,
Kwa Hilo kosa baada mshikaji kuwekwa selo kimafia siku 3.
Alipotoka kwa dhamana,
Mshikaji Alituma mzee wa mishe kumuona hakimu,
Ili kumtoa ya mafuta, ikiwezekana kesi wamalizane na mteja wake kwani anachohitai mteja ni kutengenezewa tu computer yake, na hilo lipo ndan ya uwezo wa fundi na ilikuwa imebakia kdg tu akabidhiwe kifaa chake, sema basi tu shetan akiwa kazin hufarakanisha mambo,
Sasa moto aliopelekewa fundi polisi na mahakaman hadi mteja anajuta kumshtaki...**
Back...
Mzee wa mishe baada ya kumuona pilato, akatosa kamlungula ka mshikaji,

Na mzee wa mishe anasema pilato atamhukum fain sh laki 3 au jela miez 6 pamoja na kulipa kifaa (Sh laki 2.5),

Shitaka alilosomewa ni kuharibu kifaa,,

Ndio sasa mshikaji yupo njia panda,
Na nashindwa nimshauri nini!!
 
Back
Top Bottom