Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

Kama huku ndiyo kufa basi ni hatari

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Ilikuwa Alhamisi ya last week nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo sana. Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa siyo nzuri, ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya.

Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyonisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka. Sasa kilichonishangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala, yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa.

Nilikuwa nasikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu, huyu ni fulani, ila kule kuongea au kutikisika na kufungua macho ndiyo nilikuwa siwezi kabisa.

Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani, walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndiyo nikafufuka tena.

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi? Kweli ninaamini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni, maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia.

Kama ndiyo kufa ni Mungu tu mwanadamu hawezi, watu wanazikwa huku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndiyo hawana!
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week Nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo saana
Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa sio nzuri ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyo nisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka
Sasa kilicho ni shangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa nilikuwa na sikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu huyu ni fulani ila kule kuongeya au kutikisika na kufungua macho ndo nilikuwa siwezi kabisa
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndo nikafufuka tena

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi kweli nina amini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia

Kama ndo kufa Ni Mungu tu mwanadamu hawezi watu wanazikwa uku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndo hawana
Wewe ulikuwa bado hujafa. Una bahati uliwekwa masaa matatu kabla ya kupelekwa mochwari, wengine wanapelekwa hata nusu saa hawapewi
 
tokea wiki iliyopita hali hii imejitokeza na watu wameanza kufa sana serikali ifuatilie hili jambo! mie pia niliamka asbh vizur ilivyofka mchana nikazidiwa mpaka macho yakawa hayaoni! bahati nzuri wasamaria wakanikimbiza hospitali kubwa wakacheza na sindano zao nikarud normal baada ya masaa kama matatu hivi!

ila watu wanakata moto sana sasa hiv
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week Nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo saana
Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa sio nzuri ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyo nisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka
Sasa kilicho ni shangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa nilikuwa na sikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu huyu ni fulani ila kule kuongeya au kutikisika na kufungua macho ndo nilikuwa siwezi kabisa
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndo nikafufuka tena

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi kweli nina amini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia

Kama ndo kufa Ni Mungu tu mwanadamu hawezi watu wanazikwa uku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndo hawana
Waswahili watasema hii chai
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week Nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo saana
Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa sio nzuri ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyo nisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka
Sasa kilicho ni shangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa nilikuwa na sikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu huyu ni fulani ila kule kuongeya au kutikisika na kufungua macho ndo nilikuwa siwezi kabisa
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndo nikafufuka tena

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi kweli nina amini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia

Kama ndo kufa Ni Mungu tu mwanadamu hawezi watu wanazikwa uku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndo hawana
 
Near death experience. Haya matukio yanatokea sana. Halafu Africa inasemekana watu wengi wanazikwa kabla hawajafa. Moyo ukisimama tu unafunikwa shuka. Ni kama vile madtari hawana ufahamu ni wakati gani binadamu anakuwa amekufa au inategemeana na umuhimu wa huyo binadamu.
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week Nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo saana
Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa sio nzuri ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyo nisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka
Sasa kilicho ni shangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa nilikuwa na sikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu huyu ni fulani ila kule kuongeya au kutikisika na kufungua macho ndo nilikuwa siwezi kabisa
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndo nikafufuka tena

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi kweli nina amini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia

Kama ndo kufa Ni Mungu tu mwanadamu hawezi watu wanazikwa uku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndo hawana
Hiyo ni moja ya shuhuda za wengi kuhusu KIFO.

Ningependa kujua wakati upo ktk hiyo STATE, je uliona vitu gani ktk akili yako?
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week Nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo saana
Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa sio nzuri ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyo nisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka
Sasa kilicho ni shangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa nilikuwa na sikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu huyu ni fulani ila kule kuongeya au kutikisika na kufungua macho ndo nilikuwa siwezi kabisa
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndo nikafufuka tena

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi kweli nina amini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia

Kama ndo kufa Ni Mungu tu mwanadamu hawezi watu wanazikwa uku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndo hawana
Mtu akifa anajua kwamba kafa na anasikia yote,sababu ubongo unakua haujafa totally
 
Ilikuwa Alhamisi ya last week Nilikuwa nasikia maumivu ya tumbo saana
Familia yangu wakanikimbiza hospitali maana hali yangu ilikuwa sio nzuri ndugu na jamaa walikuwa wanasubiri majibu kutoka kwa docters tu maana nilikuwa na hali mbaya
Nilifika hospitali kwa bahati mbaya kama maelezo yao walivyo nisimulia kuwa nilikufa kabisa wakanifunika na shuka
Sasa kilicho ni shangaza mimi kipindi nipo kitandani pale mimi nilihisi kuwa nimelala yaani nimepumzika maana akili yangu bado ilikuwa inafanya kazi kabisa nilikuwa na sikia vilio vya watu na kutambua huyu ni mama yangu huyu ni fulani ila kule kuongeya au kutikisika na kufungua macho ndo nilikuwa siwezi kabisa
Kwa maelezo yao walisema nilifanya kitu cha masaa matatu maiti yangu iko tu kitandani walikuwa wanafanya utaratibu wakunipeleka mochari ndo nikafufuka tena

Mpaka sasa hivi bado najiuliza kumbe mtu akifa akili yake bado inafanyaga kazi kweli nina amini wangenipeleka udongoni ningejua na pelekwa udongoni maana nilikuwa nafahamu na nilikuwa nasikia watu wanavyo lia

Kama ndo kufa Ni Mungu tu mwanadamu hawezi watu wanazikwa uku wakijua kabisa wanapelekwa udongoni ila nguvu ya kukataa ndo hawana
Kufa ni kupoteza fahamu, kuto tambua mazingira yanayokuzinguka, viungo vya mwili, pamoja mishipa yote, kuacha kufanya kazi, siyo kusimama, kuacha kufanya kazi.

Sasa kama ulikua unasikia vilio, sioni kufa kwako, ikiwa viungo vya fahamu vilikua vikifanya kazi.
 
Walichelewa kukupeleka kwenye jokofu,wamekuhujumu.
giphy.gif
 
Back
Top Bottom