Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Ngoja nijehauko serious kijana
wewe ndio bado mchanga sana inaonekana kwenye uwanja wa muvi, njoo na hard disk nikupe muvi kali
Ngoja nijehauko serious kijana
wewe ndio bado mchanga sana inaonekana kwenye uwanja wa muvi, njoo na hard disk nikupe muvi kali
Njoo nikupeNgoja nije
Kuna kitu cha apocalypto cha mel gibson kifupi ni kuna movie nyingi mno ambazo ni kali sana kuna moja hivi nadhani inaitwa 2002 kuna lone survivor(hii ni kali mno) behind the enemy line ,the bodyguard from beijing,
Vipi Robowar?Predator2 ,(1987)
Hiyo behind the enemy line hasa ile ya kwanza ya rubani wa usa nchini bosnia ni fire.Kuna kitu cha apocalypto cha mel gibson kifupi ni kuna movie nyingi mno ambazo ni kali sana kuna moja hivi nadhani inaitwa 2002 kuna lone survivor(hii ni kali mno) behind the enemy line ,the bodyguard from beijing,
Vipi Robowar?
Daah noma sana.Halafu atafsiri lufufu
Wakuu kama kuna mtu hajaziona hizi movies basi kwenye ulimwengu wa movies bado sana
View attachment 1181480
Pakua uTorrent... Week bundle pakua easymkuu monta hiyo troy unayo? naitafuta sana at any cost
Hiyo namba 6. Ni nyofoko ni vinu mwanzo mwenga mwaaa mwiiii.... Jamaa waarabu walikinukisha hatari Sana ...Mkuu hivi uko serious kweli?? Hizo movie ndio unaweza sema ni the best??
1. Dead play
2. No retreat no surrender
3. The hard way
4.lucky 7
5. American ninja
6. 13 hours of bengazi
7. Black hawk down
8. Komando samweli
9. The bodyguard ya jetlee
10. IP man
Bonus naweka wanted ya angelina jolie na nelia ya sauzi Africa
Hivyo ndio vitu vya kuandika sio list yako
nimetafuta sana mkuuPakua uTorrent... Week bundle pakua easy
Unatumia nini laptop au smartphonenimetafuta sana mkuu
computer bossUnatumia nini laptop au smartphone
Nenda website www.filehippo.com humo Kuna app/software za kila aina za computer/laptop .. search uTorrent ukipakua na kusave Rudi Tena nikupe sites za kupakua Movie Torrents na Series torrents.computer boss