Kama hii screenshot ni kweli basi tumekwisha

Mubby777

JF-Expert Member
Oct 17, 2018
1,638
5,646
fa414998-915b-4237-808f-1e33fdac2077.jpg
 
Wanafunga mashirika mengine kuondoa competition kwa kuwa walikuwa na gharama ndogo.

Hii ni sawa na kupandisha bei ya Mafuta ya taa Kisha yanatumika kuchakachua.

Viongozi wetu hawana njia nzuri ya kutatua matatizo ndio maana unakuta hata vyombo vya usalama wanazuia magari Kusafiri nyakati fulani au Bar kufungwa kwa kigezo Cha uhalifu.
 
Wanafunga mashirika mengine kuondoa competition kwa kuwa walikuwa na gharama ndogo.

Hii ni sawa na kupandisha bei ya Mafuta ya taa Kisha yanatumika kuchakachua.

Viongozi wetu hawana njia nzuri ya kutatua matatizo ndio maana unakuta hata vyombo vya usalama wanazuia magari Kusafiri nyakati fulani au Bar kufungwa kwa kigezo Cha uhalifu.
Precision air wameamriwa kupandisha bei? Hivi unafikiria kwa matacko au?
 
Si ndio wameifungia Fastjet mpaka waziri akachekelea subiria waifungie na Precision ndio mtajua faida ya kuwa na mashirika tofauti ya ndege
 
Back
Top Bottom