Precision air wameamriwa kupandisha bei? Hivi unafikiria kwa matacko au?Wanafunga mashirika mengine kuondoa competition kwa kuwa walikuwa na gharama ndogo.
Hii ni sawa na kupandisha bei ya Mafuta ya taa Kisha yanatumika kuchakachua.
Viongozi wetu hawana njia nzuri ya kutatua matatizo ndio maana unakuta hata vyombo vya usalama wanazuia magari Kusafiri nyakati fulani au Bar kufungwa kwa kigezo Cha uhalifu.
Umechambua hoja yangu juu juu sana na ukaishia kutukana.Precision air wameamriwa kupandisha bei? Hivi unafikiria kwa matacko au?
Unalalamika nini kwani hujui kanuni za demand and supply...
Wee jamaa kichwa chako kimejaa "Ujinga Mtambuka"Unataka usafiri bure?
Ye mwenyewe anajiita mgonjwa,unategemea nini mkuu??Wee jamaa kichwa chako kimejaa "Ujinga Mtambuka"