bernardp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 619
- 918
Bado sijaamini kama hawa jamaa wana akili kiasi hicho. Kama ni hivyo basi kuna baadhi ya binadamu inabidi tu tukubaki tunaijaza dunia for nothing.
Yaani hata invention moja hatuna. "I feel very sorry"
Bora hata waparsi wanang'ang'ana hata wawe na kabomu ka nyuklia.
Jamani can we wake up and use our brainz guyzz!! We can even eradicate malaria with our own technologies (hata za asili) bila "misaada".
YES WE CAN! YES WE CAN!
Yaani hata invention moja hatuna. "I feel very sorry"
Bora hata waparsi wanang'ang'ana hata wawe na kabomu ka nyuklia.
Jamani can we wake up and use our brainz guyzz!! We can even eradicate malaria with our own technologies (hata za asili) bila "misaada".
YES WE CAN! YES WE CAN!