sijaelewa bado, Mantiki yako ni nini!
Kumbuka usiku mimea inavuta oxygen na kutoa carbon dioxideKama nitakua nimeelewa vizuri huu mmea mbona una sifa kama mimea mingine mingi kwamba inatoa oxygen na kuingiza carbon.
Sisi tunaingiza oxygen ambayo inatolewa na mimea na tutatoa carbon ambayo iinatakiwa na mimea
Dah aiseee nimepitiwa kweli kweli.Kumbuka usiku mimea inavuta oxygen na kutoa carbon dioxide
Kwanini hospitality? ulitaka kusema nini?
at night, the plants uptake oxygen and release carbon dioxide, which is called respiration.
Amewaza ventilator,ila mmea usiku unafuta oxygensijaelewa bado, Mantiki yako ni nini!
kwamba mazingira ya Hospitalini hakuna hewa ya Oxygen ya kutosha ama vipi?
Lakini ni moja ya mimea ambayo ni sumu na hatari. Unaitwa Ulimi wa Mama Mkwe.Amewaza ventilator
Hongera Mkuu kwa kuwa na moyo mzuri na kuwaza chanya..Mkuu nimewaza tu maana nasikia kuna uhaba wa mitungi ya hewa ya oksjeni
Hebu elezea vizuri sumu yake maana hii iko nyumbani kwangu aiseeLakini ni moja ya mimea ambayo ni sumu na hatari. Unaitwa Ulimi wa Mama Mkwe.