Safi kabisa.. Hongera 👏Wanawake tunao jielewa tukipata mshahara tu. Tunaweka mezani
##no stress.!!
Naelewa nimacho kisemaNinesoma lote mkuuu.
1. Ni unatumia maandiko vibaya
2. Mwanamke hakuumbwa kutafuta na kulisha familia, ndio msingi wa migogoro yote inaanzia huko sababu tumekiuka malengo ya uumbaji, angali hata tofauti za mwanamke na mwanaume zilivyo k8maumbile, nguvu, kujali, kutunza, malezi, misuli nk utanielewa. Wewe unajaribu kurekebisha kitu ambacho kinamakosa tayarii kwenye msingi wake (sio mshahara wa kazi ya mwanamke uletwe mezani, ni HAKUPASWA KUFANYA KAZI KABISA), Tumeruhusu waingilie majukumu yasio ya kwao totally, hivyo hakuna haja ya kuwalaumu maana level ya ubibafsi na uchoyo walionayo wanawake (hatujui kwanini Mungu aliwaweka na level hiyo ya ubibafsi na uchoyo)
sio kweli hiyo ni sheria ya femistaa vuta picha adam na hawa mwanzon kabla ya mungu kuagiza, kuongeza dunia {yaan kuzaana]Mwanamke hakuumbwa kutafuta. Aliumbwa kuzaa na kulea tu pekeee.