Kama hawa ndio watendaji wa TCU basi hakuna kitu hapo.

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Jana kwenye kipindi cha kipima joto ITV kulikua na wadau kadhaa wa elimu walioalikwa kwa ajili ya kujadili upandishaji wa madaraja kwa wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu nchini. Kulikua na watendaji 2 wa TCU ambao walitambulishwa kama maafisa udahili wa tume hiyo.


Yaani mtu anaulizwa hawa wenye diploma waliopata GPA chini ya 3.5 wataenda wapi? Mtu anajibu kwamba eti sio lazima wote waende chuo kikuu, duh kama haya ndio mawazo yao tutegemee ubaguzi wa hali ya juu.


Mtu anazungumzia eti fursa za kusoma stashada na ajira zake ziko nyingi kwahiyo watu wasiogope, yaani mtoto wa maskini aliyesomea kibatari PCM kapata walao EEE anaambiwa kua hana sifa sio lazima aende chuo kikuu.Hatari sana.

Lingine wanaulizwa kwamba hawaoni kwamba huu utakua ni ubaguzi kua wanaosoma shule nzuri ndio watakaofaulu vizuri,akajibu kua mbona kuna shule za kata ziliongoza mtihani mwaka huu? Wangeenda kwenye mazingira ya shule hizo wajionee mazingira yalivyo na pengine ilikua ni kama bahati na sibu tu sidhani kama zitaongoza tena.


Kiongozi anadai kua haoni tofauti kati ya ufaulu wa arts na sayansi, zote sawa tu. Amesahau kua tatizo sio wanafunzi bali ni miundombinu ya shule zenyewe kama maabala na walimu.
 
NI swear kwa sasa hakuna atakayesoma Sayansi ili asiende chuo kikuu, wote watakimbilia Arts walao HKL ili spate CCD zake aende chuo kikuu. Wataakam wa sayansi tuwasahau kabisa.
 
NI swear kwa sasa hakuna atakayesoma Sayansi ili asiende chuo kikuu, wote watakimbilia Arts walao HKL ili spate CCD zake aende chuo kikuu. Wataakam wa sayansi tuwasahau kabisa.
Kusoma ni hobie kuna wengine wanapenda masomo Fulani lkn mengine hawayataki lkn pia mnaopambana humu mmeshatoka vyuooni. Mbona kuna upungufu wa sayansi wkt kulikuwa na fursa hiyo unayo sema
 
Kusoma ni hobie kuna wengine wanapenda masomo Fulani lkn mengine hawayataki lkn pia mnaopambana humu mmeshatoka vyuooni. Mbona kuna upungufu wa sayansi wkt kulikuwa na fursa hiyo unayo sema
Fanya comparison ya wanafunzi wa shahada za sanaa na Sayansi pale UDSM, najua jibu unalo. Kwa sasa Mlimani idadi ya wanafunzi wa Masomo ya sayansi ni 200 kulinganisha na wanafunzi 3000 wa masomo ya sanaa, nipe jibu ni kwanini hivyo? Tena wale 200 nusu wana division 3.
 
Fanya comparison ya wanafunzi wa shahada za sanaa na Sayansi pale UDSM, najua jibu unalo. Kwa sasa Mlimani idadi ya wanafunzi wa Masomo ya sayansi ni 200 kulinganisha na wanafunzi 3000 wa masomo ya sanaa, nipe jibu ni kwanini hivyo? Tena wale 200 nusu wana division 3.
Duniani kote masomo ya sanaa uchukua wanafunzi wengi na hasa nchi zinazoendelea ndiyo maana kukaanzishwa UNESCO kaka siyo mlimani tu
 
Fanya comparison ya wanafunzi wa shahada za sanaa na Sayansi pale UDSM, najua jibu unalo. Kwa sasa Mlimani idadi ya wanafunzi wa Masomo ya sayansi ni 200 kulinganisha na wanafunzi 3000 wa masomo ya sanaa, nipe jibu ni kwanini hivyo? Tena wale 200 nusu wana division 3.
Hata ukiangalia college za sanaa ziko nyingi wkt college za sayansi mlimani ziko tatu km sijakosea
 
Jana kwenye kipindi cha kipima joto ITV kulikua na wadau kadhaa wa elimu walioalikwa kwa ajili ya kujadili upandishaji wa madaraja kwa wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu nchini. Kulikua na watendaji 2 wa TCU ambao walitambulishwa kama maafisa udahili wa tume hiyo.


Yaani mtu anaulizwa hawa wenye diploma waliopata GPA chini ya 3.5 wataenda wapi? Mtu anajibu kwamba eti sio lazima wote waende chuo kikuu, duh kama haya ndio mawazo yao tutegemee ubaguzi wa hali ya juu.


Mtu anazungumzia eti fursa za kusoma stashada na ajira zake ziko nyingi kwahiyo watu wasiogope, yaani mtoto wa maskini aliyesomea kibatari PCM kapata walao EEE anaambiwa kua hana sifa sio lazima aende chuo kikuu.Hatari sana.

Lingine wanaulizwa kwamba hawaoni kwamba huu utakua ni ubaguzi kua wanaosoma shule nzuri ndio watakaofaulu vizuri,akajibu kua mbona kuna shule za kata ziliongoza mtihani mwaka huu? Wangeenda kwenye mazingira ya shule hizo wajionee mazingira yalivyo na pengine ilikua ni kama bahati na sibu tu sidhani kama zitaongoza tena.


Kiongozi anadai kua haoni tofauti kati ya ufaulu wa arts na sayansi, zote sawa tu. Amesahau kua tatizo sio wanafunzi bali ni miundombinu ya shule zenyewe kama maabala na walimu.
 
Kuna mawatu humu hayajui mzki wa advance, yanakaa kutetea ujinga.. Hv nyie mna ijua phyz ya advance ilivyo? Bado yanadhan kupata DD kweny HKL Na DD kweny PCM Ni sawa,acheni upuuz hii serikaki inafanya mambo yasiyo Na busara... Kwanza wametumia madaraja tofauti Na waliyo yafahamu wanafnz wakat wanafnya huo mtihani wao wa taifa, kwann kla siku wanafanya mabadiliko yasiyo Na maana? Kama umeishia la saba kaa kmya sio mnakaa kutetea upuuz
 
Jana kwenye kipindi cha kipima joto ITV kulikua na wadau kadhaa wa elimu walioalikwa kwa ajili ya kujadili upandishaji wa madaraja kwa wanaotarajiwa kujiunga na vyuo vikuu nchini. Kulikua na watendaji 2 wa TCU ambao walitambulishwa kama maafisa udahili wa tume hiyo.


Yaani mtu anaulizwa hawa wenye diploma waliopata GPA chini ya 3.5 wataenda wapi? Mtu anajibu kwamba eti sio lazima wote waende chuo kikuu, duh kama haya ndio mawazo yao tutegemee ubaguzi wa hali ya juu.


Mtu anazungumzia eti fursa za kusoma stashada na ajira zake ziko nyingi kwahiyo watu wasiogope, yaani mtoto wa maskini aliyesomea kibatari PCM kapata walao EEE anaambiwa kua hana sifa sio lazima aende chuo kikuu.Hatari sana.

Lingine wanaulizwa kwamba hawaoni kwamba huu utakua ni ubaguzi kua wanaosoma shule nzuri ndio watakaofaulu vizuri,akajibu kua mbona kuna shule za kata ziliongoza mtihani mwaka huu? Wangeenda kwenye mazingira ya shule hizo wajionee mazingira yalivyo na pengine ilikua ni kama bahati na sibu tu sidhani kama zitaongoza tena.


Kiongozi anadai kua haoni tofauti kati ya ufaulu wa arts na sayansi, zote sawa tu. Amesahau kua tatizo sio wanafunzi bali ni miundombinu ya shule zenyewe kama maabala na walimu.
daah hiyo hatari saana
 
Back
Top Bottom