mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
Wana JF jana katika kumnadi mgombea wa CCM (Siyoi)Sumari katika kata ya Maji ya Chai,muda mwingi Meneja Kampeni Mwigulu Mchemba alikuwa akijitetea Shutuma zake ndani ya JF,nakusema anamchukia sana SLAA huku akisema Nassari hana NGO ila anamlisha mbwa wa Mzungu..
MY TAKE:kama hizo ndo hoja za CCM basi tunaongozwa na watu Hatari sana vichwani
MY TAKE:kama hizo ndo hoja za CCM basi tunaongozwa na watu Hatari sana vichwani