Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,521
- 30,222
Duh..... kweli kabisa mkuu Mzito Kabwela, huyo gamba amediriki kuwafananisha maccm wenzake na bata?Ulivyo mjinga unawafananisha wagombea wa CCM na bata!
Cha ajabu hao Sisiem wenzake badala ya kuchachamaa, wamebaki wanachekelea na kushangilia kwa hilo 'tusi' walilotukanwa!