slow_learner
Senior Member
- Nov 24, 2016
- 152
- 144
Inaumiza sana kuona baadhi ya vijana wa kitanzania waliojiunga na elimu ya chuo kikuu wanarudi makwao.
Serikali ni bora ikajipanga vyema kuwanusuru vijana hawa maana wanaandaa kundi la watu wenye chuki na Serikali.
Kama hali ndo hii bora nikauze mchicha ili niweze kujikimu kimaisha kuliko kusoma chuo bila mkopo.
Inatisha sana
Serikali ni bora ikajipanga vyema kuwanusuru vijana hawa maana wanaandaa kundi la watu wenye chuki na Serikali.
Kama hali ndo hii bora nikauze mchicha ili niweze kujikimu kimaisha kuliko kusoma chuo bila mkopo.
Inatisha sana