Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Watanzania tar 28 mwezi huu ndio siku ya kufanya maamuzi ya msingi,lakini pia ndio siku ya kuadhibu wanasiasa ambao wanaojali matumbo yao tu,sio wananchi.
Fikiria muuza kahawa,mama ntilie,machinga fundi ujenzi au fundi Carpentry umfungie ndani kwa miezi minne bila kufanya shughuli,maisha yake yatakuwa vipi?
Fikiria mama muuza karanga,muuza mihogo kwenye beseni na muuza maji ya kandoro umfungie miezi minne bila kufanya kazi maisha yake yatakuwaje?
Chadema walisimama kidedea watanzania tufungiwe ndani tusitoke nje kama njia ya kupambana na Coronavirus na ilifikia hatua wabunge wao walivuta posho na kwenda kuzitanua huku wakidanganya watu wapo lockdown.
Hiki chama hakikuwa na nia njema na watanzania,sababu waliacha kumtegemea Mungu ili atuepushe na Corona virus,bali walileta siasa mbovu ili watanzania wapate mateso ya Lockdown. Angalia jirani zetu Kenya na Uganda walivyoteseka. Ndivyo hivyo Chadema walitaka tuteseke.
Kwa hiyo sababu walikuwa hawana nia njema na watanzania wanyonge,basi adhabu yao ni moja tu. Hakuna kukipa hiki chama hata kura moja.
Hapa wakitoka nje huku tayari wamevuta posho za kujikimu,je wanafaa?
Fikiria muuza kahawa,mama ntilie,machinga fundi ujenzi au fundi Carpentry umfungie ndani kwa miezi minne bila kufanya shughuli,maisha yake yatakuwa vipi?
Fikiria mama muuza karanga,muuza mihogo kwenye beseni na muuza maji ya kandoro umfungie miezi minne bila kufanya kazi maisha yake yatakuwaje?
Chadema walisimama kidedea watanzania tufungiwe ndani tusitoke nje kama njia ya kupambana na Coronavirus na ilifikia hatua wabunge wao walivuta posho na kwenda kuzitanua huku wakidanganya watu wapo lockdown.
Hiki chama hakikuwa na nia njema na watanzania,sababu waliacha kumtegemea Mungu ili atuepushe na Corona virus,bali walileta siasa mbovu ili watanzania wapate mateso ya Lockdown. Angalia jirani zetu Kenya na Uganda walivyoteseka. Ndivyo hivyo Chadema walitaka tuteseke.
Kwa hiyo sababu walikuwa hawana nia njema na watanzania wanyonge,basi adhabu yao ni moja tu. Hakuna kukipa hiki chama hata kura moja.
Hapa wakitoka nje huku tayari wamevuta posho za kujikimu,je wanafaa?