mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,775
- 2,198
Kwa muda mrefu katika ukumbi huu CHADEMA imekuwa ikiitwa (reffered to) kama saccos. Wanaoiita CHADEMA saccos nadhami wana maana kwamba chama kinaendeshwa kwa matakwa ya watu wachache tofauti na matakwa ya Wanachama kwa ujumla.
Kwa mtazamao wangu kama ni hivyo basi CCM ni kioski. Kwa nini nasema hivyo? Kioski ni biashara inayomilikiwa na mtu mmoja. Maamuzi yote yanafanywa na mtu mmoja.
Tofauti na saccos ambayo ina katiba, kioski hakina katiba. Tofauti na saccos ambayo ina kanuni kioski haina kanuni. Mwenye kioski akisema mtu yeyote anayetaka kumiliki kioski hii lazima awe na umri chini yangu. Kama tunalingana au amenizidi hawezi kumiliki.
Maskini CCM imefanywa kioski, CCM haina kanuni inayozuia mwanachama wa miaka 65, 67 au 70 asigombee nafasi yoyote. Lakini kwa kuwa mwenye kioski amesema.... basi ndo imetoka hiyo!
Si Kamati Kuu, Halmashauri Kuu ya Taifa wala Mkutano Mkuu unaweza kuja na mawazo tofauti ya mwenye kiosi!
Kwa mtazamao wangu kama ni hivyo basi CCM ni kioski. Kwa nini nasema hivyo? Kioski ni biashara inayomilikiwa na mtu mmoja. Maamuzi yote yanafanywa na mtu mmoja.
Tofauti na saccos ambayo ina katiba, kioski hakina katiba. Tofauti na saccos ambayo ina kanuni kioski haina kanuni. Mwenye kioski akisema mtu yeyote anayetaka kumiliki kioski hii lazima awe na umri chini yangu. Kama tunalingana au amenizidi hawezi kumiliki.
Maskini CCM imefanywa kioski, CCM haina kanuni inayozuia mwanachama wa miaka 65, 67 au 70 asigombee nafasi yoyote. Lakini kwa kuwa mwenye kioski amesema.... basi ndo imetoka hiyo!
Si Kamati Kuu, Halmashauri Kuu ya Taifa wala Mkutano Mkuu unaweza kuja na mawazo tofauti ya mwenye kiosi!