Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,265
- 839
Amefanya ziara ipi ya Gari hata kwasaa5 akiwa barabarani?Haiba ya mama kwamba anataka haki ina mbeba vilivyo. Kwa sasa maadui alio nao ni lile genge la wasukuma na wanachato wa imani peke yao. Kwa sasa bila ya genge hili mbona mama ana puyanga barabarani bila ulinzi?
Haiba ya haki haikutakiwa na mwendazake na genge hili la wasukuma koko wakiwamo bashiri, katelefoni, na wenzao.
Anayewajua hawa hawezi kuwa na maneno matamu sana kwao.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu CCM ni walewale, usiumize kichwa kabisa.
Kama yuko tofauti, alete katiba mpya.
Husikii Buhigwa wapinzani wanalia?