moblaze JF-Expert Member Nov 22, 2010 231 27 Jun 20, 2011 #1 au wadau mnasemaje? mimi mwenzenu hesabu hana kichwani
M Masuke JF-Expert Member Feb 28, 2008 4,610 1,264 Jun 20, 2011 #3 Watu wangekuwa wanachukulia hela ndani. Wangeweka kwenye ATM za NMB hakuna foleni kama unazijua hesabu ukifika tu nakuchukua hakuna cha foleni.
Watu wangekuwa wanachukulia hela ndani. Wangeweka kwenye ATM za NMB hakuna foleni kama unazijua hesabu ukifika tu nakuchukua hakuna cha foleni.
moblaze JF-Expert Member Nov 22, 2010 231 27 Jun 20, 2011 Thread starter #4 masuke said: Watu wangekuwa wanachukulia hela ndani.Wangeweka kwenye ATM za NMB hakuna foleni kama unazijua hesabu ukifika tu nakuchukua hakuna cha foleni. Click to expand... kweli mkuu
masuke said: Watu wangekuwa wanachukulia hela ndani.Wangeweka kwenye ATM za NMB hakuna foleni kama unazijua hesabu ukifika tu nakuchukua hakuna cha foleni. Click to expand... kweli mkuu
Roulette JF-Expert Member Dec 15, 2010 5,579 5,374 Jun 20, 2011 #5 ninge rudi system ya kufuga n'gombe as hakiba ya familia, nikitaka hela nauza maziwa. full stop!
moblaze JF-Expert Member Nov 22, 2010 231 27 Jun 20, 2011 Thread starter #6 RussianRoulette said: ninge rudi system ya kufuga n'gombe as hakiba ya familia, nikitaka hela nauza maziwa. full stop! Click to expand... bora mkubwa..hesabu hatari!
RussianRoulette said: ninge rudi system ya kufuga n'gombe as hakiba ya familia, nikitaka hela nauza maziwa. full stop! Click to expand... bora mkubwa..hesabu hatari!
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,348 Jun 20, 2011 #7 duh hiyo kali mno watu wangekuwa wanafia kwenye atm kwa pressure
Memo JF-Expert Member Jan 17, 2011 2,157 760 Jun 20, 2011 #8 Chimunguru said: duh hiyo kali mno watu wangekuwa wanafia kwenye atm kwa pressure Click to expand... mi ningekuwa nachimbia vijisenti vyangu chini bana!!!
Chimunguru said: duh hiyo kali mno watu wangekuwa wanafia kwenye atm kwa pressure Click to expand... mi ningekuwa nachimbia vijisenti vyangu chini bana!!!
Dr.Chichi JF-Expert Member Apr 30, 2008 2,394 631 Jun 20, 2011 #9 He he he ingetusaidia kusave mshiko..,..
Hmaster JF-Expert Member Dec 27, 2010 346 86 Jun 21, 2011 #10 Mi ningekuwa nakwenda na mdogo wangu kwani yy hesabu zimelala, hiyo anafanya faster!
A Aisha Adam JF-Expert Member Apr 17, 2011 460 103 Jun 21, 2011 #11 Benki gani hiyo mkuu? mbona balaa
KIMICHIO JF-Expert Member Aug 12, 2010 1,179 80 Jun 21, 2011 #12 Walahi mi wasingeniona kabisaaaa hata sura yangu huko!!!!!tehetehetehe hesabu tena na nilishazikacha kipindi niko shuleni aisee???
Walahi mi wasingeniona kabisaaaa hata sura yangu huko!!!!!tehetehetehe hesabu tena na nilishazikacha kipindi niko shuleni aisee???
X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,809 Jun 21, 2011 #13 Na kwa kuogopa wengine wanaweza kuangalia jinsi ulivyo kokotoa, si ajabu kukuta watu wapo kwenye style hii:
Na kwa kuogopa wengine wanaweza kuangalia jinsi ulivyo kokotoa, si ajabu kukuta watu wapo kwenye style hii:
CAMARADERIE JF-Expert Member Mar 3, 2011 4,419 1,920 Jun 21, 2011 #14 Wakaiweke pale Faculty of Engineering.........otherwise mawakili watakufa njaa
X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,809 Jun 21, 2011 #15 Ukichoka au hisabati zikikuchanganya, una relax kwa karata (Spder Solitaire).
Maarifa JF-Expert Member Nov 23, 2006 4,568 2,911 Jun 21, 2011 #16 Mbona Value za P na h hatujapewa? then you can not solve. Therfore pesa haitoki
shanature JF-Expert Member Nov 15, 2010 1,302 910 Jun 22, 2011 #17 watu waliosoma pure math wangepeta ije tu bongo watu tupate ajira tungekuwa tunajiegesha hapo kusolvia watu
watu waliosoma pure math wangepeta ije tu bongo watu tupate ajira tungekuwa tunajiegesha hapo kusolvia watu