kama ATM machine zote zingekua hivi...ni soo!

moblaze

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
231
27
251133_152746271465228_100001895683016_334465_7274296_n.jpg
au wadau mnasemaje? mimi mwenzenu hesabu hana kichwani
 
Watu wangekuwa wanachukulia hela ndani.

Wangeweka kwenye ATM za NMB hakuna foleni kama unazijua hesabu ukifika tu nakuchukua hakuna cha foleni.
 
ninge rudi system ya kufuga n'gombe as hakiba ya familia, nikitaka hela nauza maziwa. full stop!
 
Mi ningekuwa nakwenda na mdogo wangu kwani yy hesabu zimelala, hiyo anafanya faster!
 
Walahi mi wasingeniona kabisaaaa hata sura yangu huko!!!!!tehetehetehe hesabu tena na nilishazikacha kipindi niko shuleni aisee???
 
Na kwa kuogopa wengine wanaweza kuangalia jinsi ulivyo kokotoa, si ajabu kukuta watu wapo kwenye style hii:

Funny-ATM-Pictures-3.jpg

 
watu waliosoma pure math wangepeta ije tu bongo watu tupate ajira tungekuwa tunajiegesha hapo kusolvia watu
 
Back
Top Bottom